Kukudume2013
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 1,659
- 736
unakula kuku na mayai yake mkuu wewe hatari
Kuna mtu alinuliza kuhusu picha, itakuwa sio jambo la busara kwa sababu wanaweza kuwa wapo hapa JF, lakini pia mimi mwenyewe nipo kwenye picha, kumbuka hamna hata mtu mmoja alieweka picha yake hapa Jf.
Hamna sehemu ambayo nimesema maneno yanayoashiria kuwa sikuwaza kuwa wapo hapa MMUMkuu, let us make an assumption kua hii habari ni kweli, sasa swali linakuja hivi, Kwa ufahamu wako wote hukuwaza kua uyo binti mkubwa, uyo gf wako na uyo mama wanaweza nao kua ni member hapa MMU???
You have insufficient information to make that statementAvatar fake imekulaghai sana
Nikikuelewa, wanaotakiwa kuunganisha dots ni wahusika. Wahusika hawajuani, wataunganishaje dots?ukasahau kuna kuunga dot dot za story na mazingira ya hiyo family, ama ujui kua watu uweza kuunga dot dot za matukio ya story yako na kujijua wao ni wahanga??
What type of maturity are you talking about? is it physical maturity, social maturity, emotional maturity, cognitive or intellectual maturity, the more open you are, the more I can understand you.Think Big bana, be matured
Unahitaji kujua watu wanatofautiana, jambo ambalo unakaa nalo kimya, mwenzio anaweza kulizungumzia. Ulivyoongelea 'kujenga' inaonekana haijakujenga kwa sababu nimelizungumzia, ina maana wewe 'unajengwa' na mikasa isiyozungumziwa which is surprising.ulistahili ubaki na hii ishu yako mwenyewe , maana si ya kujenga kiivile, ungejikausha nayo tu moyoni.
Uwezekano unaweza kutokea au usitokee. Siamini kwenye utabiri wa binadamu mwenzangu kuhusu yatakayonitokea.What goes around comes around, at your 50's yaweza kuja tokea mwanao na mkeo wakaliwa, kwa hiki ulichokifanya leo!
Can you prove to me 'beyond reasonable doubt' kwamba hiyo picha kwenye Avatar yako ni wewe mwenyewe?. Nevertheless, we have people using their real names in their ID, you are not one of them.Swala la watu kuweka picha zao ume conclude vibaya huwezi sema hakuna HATA MMOJA aliyeweka picha yake, wapo wengi tu labda hujui kua ni wao halisi ktk hizo avatar sababu hamjuani, mfano mdogo Iyo kwenye Avatar yangu ni picha yangu, sasa wapo waliojiachia na picha full
Nipe namba ya Huyo Binti....haiwezekani huwe na ngozi Tatu zote
Wewe ni mchafu wa tabia, halafu unaona sifaaa
unakula kuku na mayai yake mkuu wewe hatari
Tamthilia ya sunset beach
hii muvi nimeiona ni tamu sana ni ya kinaijeria ila jina lake nimelisahau lol!
Huna tofauti na wadudu.Ndo wana tabia kama zako
Jitahidi ukapime HIV hiyo ndio ushauri wanguuu kabisaa. Maana ngono haisifiwi na sio sifaa..Nyokoooo kabisaa
Hamna sehemu ambayo nimesema maneno yanayoashiria kuwa sikuwaza kuwa wapo hapa MMU
You have insufficient information to make that statement
Nikikuelewa, wanaotakiwa kuunganisha dots ni wahusika. Wahusika hawajuani, wataunganishaje dots?
Can you prove to me 'beyond reasonable doubt' kwamba hiyo picha kwenye Avatar yako ni wewe mwenyewe?. Nevertheless, we have people using their real names in their ID, you are not one of them.
Ukishindwa kuelewa you ask in a socratic fashion, na sio kuongea jumlajumlaMaelezo yako yanaonesha ni kiasi gani mgumu kuelewa!
You argued already kwamba wahusika wanaweza kujua kuwa wanaongelewa hapa JF, mbona you are restricting your focus, think about this, wewe ukiunganisha dots halafu huwafahamu wahusika will there be any exposure on my side?!Kama still unadhani kuunga dot hadi watu wajuane basi kuna kazi sana,
We umejuaje ni binti? Unaweza kuthibitisha hilo? Anaweza kuwa mama, bibi, babu, baba, mtoto, kijana n.k anatumia fake ID kama wewe.....Now nimefahamu kwanini ukumuelewa binti mmoja uko juu mpaka akaamua kukuaga kwa kusema walimu wana kazi sana tho still ukaendelea kutomuelewa ktk hiyo statement yake ya kukuagia!
Kama huwezi kueleza 'ninapojikosoa maelezo yangu' hizo ni empty wordsmbaya zaidi unajikosoa maelezo yako mwenyewe
I suggest you continue being a philomath and not feigning to be polymath, there is a stupendous hiatus in your statements.Kama bado unaamini, from this imbecile story ume produce something constructive in your society then you are not grown up buddy, age bado inakuruhusu. Ukishakua utaacha ujinga huu.
There are circumstances for everything we do, some we can easily deal with, some we can hardly deal with.Very amazing!!Someone who slept with a married woman and her daughter, is trying to justify his deeds to be a learning platform in a society.
Byeeee!