Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,612
- 1,410
Samahani kwa kutosalimia, kama mnakumbuka niliwahi kuleta kisa cha kuzaa na huyu mama ambaye ni mke wa bosi fulani jina kapuni!! Ni hivi ninaona ni ngumu mno mimi kumuacha.
Hata mngekuwa nyie wanajamvi ingekuwa ngumu... Mumewe ana kisukari, so mara nyingi huwa anakwenda kama sio kutumia muda wake mwingi clinic.!
Hizo chini ni mfano wa umbo lake... Yaani napenda mno maumbo haya. Ndipo udhaifu wangu ulipo. Aisee naongeza mtoto wa 2. Mimi nitakuwa sio wa kwanza kumzalisha jimama multiple!
Potelea pote, nimempa ujauzito wa pili.!
Hata mngekuwa nyie wanajamvi ingekuwa ngumu... Mumewe ana kisukari, so mara nyingi huwa anakwenda kama sio kutumia muda wake mwingi clinic.!
Hizo chini ni mfano wa umbo lake... Yaani napenda mno maumbo haya. Ndipo udhaifu wangu ulipo. Aisee naongeza mtoto wa 2. Mimi nitakuwa sio wa kwanza kumzalisha jimama multiple!
Potelea pote, nimempa ujauzito wa pili.!