Hekaya za Abunuasi
Senior Member
- Jan 6, 2014
- 166
- 38
Walinitapeli million sita
Walinitapeli million sita
Walinitapeli million sita
Polisi nao wa siku hizi unaweza kujikuta unapoteza tena pesa zaidi za kuonga.., jaribu kama kuna wenyeji wa mitaa hiyo au wababe mtaani waulize wakutafutie huyo kijana Fred ili uanzie hapo, kama wanafanya mambo kiujanja ujanja ni ku-solve kiujanja ujanja pia. Utapeli sio mzuri kabisa unachukua pesa ya mtu wala hujui kaipata kwa shida gani wala huu sio ujanja ni ujinga ambao mtu unaweza kupoteza maisha yako kwa kuganga njaa. Wabongo tubadilike