MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,485
- 8,701
Achezee makofi gani? Kama hujui mambo wacha kufuata mikumboAkienda polisi hapo anawez kwanza kuchezea makofii alafu wakamtimua
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Achezee makofi gani? Kama hujui mambo wacha kufuata mikumboAkienda polisi hapo anawez kwanza kuchezea makofii alafu wakamtimua
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ni ku Disable online payment tu basi hakuna ishu nyingine hapoNenda bank kaifungie hiyo kadi na wakuoe nyingine, na kama unavyopoteza laini, unaifungia simcard ya zamani, na unapewa mpya, namba ile ile
Na wewe itakua uliingiza taarifa za card yako kwenye website za matapeli wakakupunyuaHio haihusiani na kadi mkuu ilinitokea kesi sawa na jamaa kwa asilimia 100, ni haya mambo ya google google ku accept ma vitu bila kujua,
Swala sio kupoteza kadi
Kadi ikiwa activated kufanya manunuzi online unachohitaji ni namba za kadi na zile namba 3 nyuma ya card umemaliza kaziKumbe kufanya manunuzi online ni rahisi hivi?
Wapi nimesema nimefanya Matumizi Online? Matumizi au manunuzi????Eti hadi leo, hajachukua kadi mpya??
Na yeye binafsi hajafanya matumizi ONLINE...form kajaza online.
Ati anaomba ushauri! Inafikirisha
Everyday is Saturday................................
Tupo wengi mkuu.
Ni hivi mtu akijua namba za card yako na cvv Yani zile tarakimu za mbele na zile tatu za nyuma anaweza kufanya malipo mtandaoni kwa kutumia kadi yako, kuzuia hili Benki ndiyo maana siku hizi ukitaka kulipia ukishaweka details ili kukamilisha muamala wanakutumia code kwenye simu au email ambazo inabidi uziweke kukamilisha muamala, inaelekwa nmb bado wako nyuma security wiseHabarini wadau,
Ninaomba msaada kwa anayeweza kunisaidia, nilipoteza kadi yangu ya NMB bank, nikaamua kujaza loss report tangu Oktoba mwaka jana kwa njia ya online. Niliambiwa kuwa malipo yamekamilika hivyo nikacomfirm polisi, sikwenda ku-comfirm sasa juzi kushinda jana ikanijia meseji kuwa shillingi 2000 imekatwa kwenye kadi namba yangu inayoishia na xxxx lakini baadae hela hiyo ikarudishwa.
Leo usiku huu nimepata tena message kuwa hela yangu 81000/= imekatwa kulipia huduma flani ya Inked in (sio LinkedIn) na Google Tempo. Wakati sijajiunga na huduma yoyote ile ya malipo ya mtandaoni.
Naomba sana mwenye kuweza kunisaidia anipe mwongozo nianzie wapi kwasababu nimetuma msg ya UTAPELI kwenda polisi hawajajibu.
NASHUKURU
Mkuu mimi mara ya kwanza nimekatwa na Google TEMPO mara ya pili imenitokea kwa LinkedIn, na ni member kwa muda mrefu ila sikuwahi kusubscribe kwenye huduma yoyote ya malipo.Ni ku Disable online payment tu basi hakuna ishu nyingine hapo
Napenda NBC card haina picha wala a/c namba wala jina so hakuna kitu unaweza 8kufanyaChukua ushauri wa chief hapo wahi asubuhi branch ili wazuie online transactions kwasababu aliyeiokota kadi kaanza kuitumia
Kumbuka ili kufanya transactions online hahitaji passwords ni kuingiza tu account no na zile namba tatu au nne zilizo nyuma ya kadi
Shkamoo mwalimuHabarini wadau,
Ninaomba msaada kwa anayeweza kunisaidia, nilipoteza kadi yangu ya NMB bank, nikaamua kujaza loss report tangu Oktoba mwaka jana kwa njia ya online. Niliambiwa kuwa malipo yamekamilika hivyo nikacomfirm polisi, sikwenda ku-comfirm sasa juzi kushinda jana ikanijia meseji kuwa shillingi 2000 imekatwa kwenye kadi namba yangu inayoishia na xxxx lakini baadae hela hiyo ikarudishwa.
Leo usiku huu nimepata tena message kuwa hela yangu 81000/= imekatwa kulipia huduma flani ya Inked in (sio LinkedIn) na Google Tempo. Wakati sijajiunga na huduma yoyote ile ya malipo ya mtandaoni.
Naomba sana mwenye kuweza kunisaidia anipe mwongozo nianzie wapi kwasababu nimetuma msg ya UTAPELI kwenda polisi hawajajibu.
NASHUKURU
Kuactivate naweza fanya mwenyewe au mpaka niende kwenye tawi la benki.Kadi ikiwa activated kufanya manunuzi online unachohitaji ni namba za kadi na zile namba 3 nyuma ya card umemaliza kazi
Benki nyingi hadi uwaambie wa activate japo nyingine zinakua activated tayariKuactivate naweza fanya mwenyewe au mpaka niende kwenye tawi la benki.