Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,166
- 188,672
Hairuhusiwi au?
Binti hujaolewa kwa nini unaishi geto,
Binti hujaolewa kwa nini unaishi geto,
Hata mie wakati nawatafuta nipate mke wa kuoa. Wakujitegemea getoni kwake sikumtahitaji kabisa
Hata mi nakupenda bila kunilipa chochote... To be continuousNimekupenda bure
My personality tu. So kila mtu Ana chaguzi yake nadhani
Ndio mkuuHairuhusiwi au?
Unapoweka chaguzi katika vitu'mambo flani ni laziwe uwe na sababu, ndio swali langu la kwanini lililenga hizo sababu za kwanini wakati unamtafuta my wife wako hukutaka wanaoishi wenyewe.My personality tu. So kila mtu Ana chaguzi yake nadhani
Why?Ndio mkuu
Mkuu nimekuelewa Ila kumbuka mie sio wewe. Kikubwa wewe Kama unatafuta komaa na vigezo vyako utapata. Kikubwa Omba Mungu usichague mke kisa hapo chini pamesimama. Ila pia hapa nakupangia. Mana maisha ama dunia ni tajiri Sana so unalipwa ama unapewa unavhohitaji ikupeUnapoweka chaguzi katika vitu'mambo flani ni laziwe uwe na sababu, ndio swali langu la kwanini lililenga hizo sababu za kwanini wakati unamtafuta my wife wako hukutaka wanaoishi wenyewe.
Kwa mimi binti yangu hawezi ishi geto kitakacho muamisha kwangu ni ndoa kukaa geto kunampa binti uhuru zaidiWhy?
Dah 😂Mkuu nimekuelewa Ila kumbuka mie sio wewe. Kikubwa wewe Kama unatafuta komaa na vigezo vyako utapata. Kikubwa Omba Mungu usichague mke kisa hapo chini pamesimama. Ila pia hapa nakupangia. Mana maisha ama dunia ni tajiri Sana so unalipwa ama unapewa unavhohitaji ikupe
Dada Taratibu.Hapo lazima iume times two.
Kwanza amekusogezea mileage kinoma manina zake popote alipo.
Pili jamaa kakupiga hela aisee.
Shubamit zako shemela muuza mrembo na mwanajeshi wako wa kusadikika.
Huyo tayari alikuwa ameshatekwa na mapenzi hivyo ushawishi wowote ingekuwa ni ngumu kuchomokaMpenzi anakushawishi kabisaa tujenge aisee uko serious na pesa wewe
kwanini umemuongezea mileage binti wa watu, ukampotezea muda na hela?Dada Taratibu.
Imagine uyo muuza urembo ni mimi mdogo wako jaman.
kuna mahali hawa shubamit zao wanatukamataga tunalainika tunaachia vyote ikiwemo akili.Mpenzi anakushawishi kabisaa tujenge aisee uko serious na pesa wewe
Dah, we jamaa ni hatariii...😂😂😂Hapo lazima iume times two.
Kwanza amekusogezea mileage kinoma manina zake popote alipo.
Pili jamaa kakupiga hela aisee.
Shubamit zako shemela muuza mrembo na mwanajeshi wako wa kusadikika.