Nimetapeliwa mwenzenu!

Nimetapeliwa mwenzenu!

Asee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma!

Kuna demu humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani, tukaekana sawa, tatizo likaja kwenye kuonana, demu akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea.

Cha ajabu hapikei simu wala kujibu msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachozi twa mbali.

Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii...

Swain!!
Nimecheka sana, naomba msimhusishe Mungu Kwa mambo ya ajabu.
 
Asee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma!

Kuna demu humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani, tukaekana sawa, tatizo likaja kwenye kuonana, demu akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea.

Cha ajabu hapikei simu wala kujibu msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachozi twa mbali.

Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii...

Swain!!
Amna MUNGU atakaekulipia mshua labda miungu ya mbususu, umeshaingizwa mjini kaa kwa kutulia
 
Amna MUNGU atakaekulipia mshua labda miungu ya mbususu, umeshaingizwa mjini kaa kwa kutulia
Sasa nifanyeje kupooza maumivu nlokua nayo?
Pesa ni ngumu sana jmn
Pesa ni ngumu
Pesa ni ngumu nyieeeee
 
Tulio soma cuba hatutumi nauli, akope anakokopaga akifika anarudishiwa, umetapeliwa kizamani sana
 
Back
Top Bottom