KUBA'BABAKOOO....CHOKO WEWE!....Asee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma!
Kuna demu humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani, tukaekana sawa, tatizo likaja kwenye kuonana, demu akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea.
Cha ajabu hapokei simu tena wala kujibu msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachozi twa mbali.
Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii
Sawa,vizuri mkuuWe nawe unawashwa!
Hujatapeliwa ww kinachokuuma nn?
Na hii pia nakuchafua?Sina MDA wa kuandika thread y kusingiziwa Nina Mambo chungunzima ya kufanya na si kudeal na wapumbavu ambao hawanisaidii lolote ktk maisha ...Fikilia MTU ameamua kukuchafua acha akuchafue maana wakat wa Mungu kumuumbua si mbali na Nina uhakika kabisa sjatapel ndiomana sipapaliki na thread za kujitetea
Hio hela huna nina uhakika kbs hio milion 4 na ushee hunaaa,kama ungekua nayo usingekuja kulalamika huku kutapeliwa kififtyKama nakusingizia hio namba ni ya nani?
Je unaitambua au huitambui???
Acha tamaa za kijinga binti,shida (njaa) haziishi!
So uliomba nikutumie pesa ilihali ukijua huwezi kuja kuitumikia (kutoa mbususu) kama unavodai tulikubaliana kwa mujibu wa maelezo yako hapo juu?
Ulichokua unataka ni pesa yangu tu na sio kuja kutoa mbunye kama yalivokua makubaliano yetu?
Huoni kama umekiuka makubaliano yetu tuliopanga? Huoni kama huo ni utapeli na wizi wa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu?
Nakushauri wacha hii tabia mara moja,usirudie tena kwa mtu mwengine.
Ww ndo mwenye akili za kitoto na unafeki maisha so ulitegemea ningenyamaza ili uendelee kutapeli watu wengine humu?
Na kama ulikua na shida ya pesa si ungeniomba tu kistaarabu,nione kama naweza kukusaidia ama laah!
View attachment 2416955
Kamanda msamehe dada yetuNa hii pia nakuchafua?View attachment 2422343
Nimekuuliza swali badala ya kunijibu,unasema unasema nina matatizo yangu binafsi,any way huyo dada naona alikua sahihi kuchukua hio hela,kwasababu kwenye uzi wake amesema anahitaji mume na yupo serious kwa hilo,hio tsh 50 ulishindwa nin kwenda kununua malaya huko sinza?Unaonekana unamatatizo yako binafsi!
Cna muda wa kijibizana naww!
Ulemavu utapata wewe mjinga usie na akili timamu eti nimekutapel elfu 50 hahahah dua la kuku halimpati mwewe na ukae ukijua akuna laana za machoko zinazotiki kwa watu smart labda machoko wenzakoHaki ya Mungu vile naapa,huo mchezo sichezagi mimi na kama nimewahi kumwomba huyo dada tgo lolote linipate,na kama sikumwomba naye apate ulemavu wa kudumu maishani mwake!
Hili swali Hata mimi huwa najiuliza sana!Madhara ya kuingia kichwa kichwa kwenye mahusiano ndo haya.
Hivi huko mtaani kwenu huonagi wanawake mpaka uje kushoboka na wanawake wa mitandaoni mkuu?
Asee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma!
Kuna demu humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani, tukaekana sawa, tatizo likaja kwenye kuonana, demu akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea.
Cha ajabu hapokei simu tena wala kujibu msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachozi twa mbali.
Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii
Yaani hapo fifty Nina odds zangu tatu ,,, nasikilizia matokeo,,,,, ila mwana katuma na ya kutolea dah.
Ulitumaje hela bila kupata huduma kwanza?
.
Ulikubalije kutuma hela kwa mtu ambae hujawahi hata kumwona?