Nimesshindwa cha kumshauri ,masaada wako muhimu

Nimesshindwa cha kumshauri ,masaada wako muhimu

Duh uandishi huu ni balaa.....

Mwambie ausikilize moyo wake
 
Mbona kawaida tu, je angepokea ingekuwaje!
Mapz hayana siri kama ana mchepuko wake atajua tu, na kama kajua ni MTU wake c achukue no ampigie anaogopa nn
 
Ukiwa na demu kiazi hayaendelei ila ukipata mwanamke wa kweli na ndoa takatifu inafungwa na watoto mnazaa kabisa. Maisha ndio haya haya.
Chuo mmemaliza? Kama bado, hebu someni kwanza mjenge ya msingi.

Halafu kwa uzoefu wangu, mapenzi yanayoanzia chuoni mara nyingi huwa hayaendelei after school hata muwe na malengo kiasi gani. Huku kitaa kuna kuna kanuni zake ngumu mno.
 
Wewe,huyo chake chako na huyo msichana wote ni wapuuzi....
 
mapenzi ya kitoto raha sana, mvulana kashindwa ata kumuuliza huyo anapiga nani eb pokea hiyo simu..kaenda kulalamika kwa mvulana mwenzie hahahah Wanaume hawapo ivo 😀
Hakika mkuu yani amezingua sana..
 
Yaani kutokumuuliza ni kosa kubwa sana alitakiwa amuulize ili ajue ni mwanaume au mwanamke
 
Mlikutana University katika matembezi au Kusoma? By the way uandishi ni mzuri
 
Kweli wanaume tumebaki wachache duniani.
Hivi inakuaje mwanaume rijali ukawa na manzi mmoja tu.
Yaani ni miongoni mwa risk ambazo ni rahisi kuziepuka tena hauhitaji Bima ya aina yoyote ile kaitka hili.
Hebu ajitahidi walau awe na mamanzi 5 tu, tena achague aina zile zinazougusa moyo wake, aone kama atakua na mawazo mgando ya kuwaza demu mmoja, yaani automatic Fatuma na Mwajuma wakizingua anakuabusy kwa Janeth au Heryet.
 
You must be born yesterday to put ypur whole trust on women.
Fanyeni mpango mdukue huyo kama bado moyo wa jamaa bado mgumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom