Wakuu, nina jamaa yangu Rafiki yangu wa karibu sana. Tumejuana since we have 5 years olds, we studied kindergarten together na Elementary together. Tulivofika secondary tukawa tumetengana kwa muda, tukaja tena kukutana University, how lucky.
Mpaka sasa, chake changu na changu chake, yes I can say that. We share our thoughts together no one accept got agitated or become solitude. We always been happy since day one. We are devoted for each other in deeply from our hearts but today he told me something strange. I failed to advice him damn he feel so solitude and miserable.
Ipo hivi Leo alikua na chick wake somewhere they hang on in non- growing condition cm ya Mpenzi wake ikaita jina jimeseviwa CWTY damn wat the hell? Jamaa akwa mpole akajifanya ajaona demu akakushia ile cm hakuipokea , mshikaji wangu akajikaza kiume but truly got hurt and become heartless akaa kimya day ikaisha wakaagana akarudi home but jaama ananishauri anapenda saana na Mwanamke pia anhisi anampenda but jamaa ananiambia nimshauri afanyeje na exactly anajua ile cm ni mwanaume mwingine jamaa kaseviwa jina lake halisi . kanambia nimshauri etii mimi nikamuambia subiri kwanza niombe ushauri kwa wengine i will let ya know bruh
Wamepanga mengi mazuri wana malengo mazuri sana yaani hapa nitakachomuambia ndo atakachokifanya 100% ndo mana nimeomba ushauri kwanza
(1)nimejiuliza nikumuambia amuache akamuacha how bout the girl?
(2)Na nimejiuliza nikimuambia aendelee nae vip mwanamke akimtenda lawama si itakua kwangu wakuu
hili swala ni zito mm mwenyewe sitoliweza ushauri wako utakua ni muhimu
Asanteni.
Mpaka sasa, chake changu na changu chake, yes I can say that. We share our thoughts together no one accept got agitated or become solitude. We always been happy since day one. We are devoted for each other in deeply from our hearts but today he told me something strange. I failed to advice him damn he feel so solitude and miserable.
Ipo hivi Leo alikua na chick wake somewhere they hang on in non- growing condition cm ya Mpenzi wake ikaita jina jimeseviwa CWTY damn wat the hell? Jamaa akwa mpole akajifanya ajaona demu akakushia ile cm hakuipokea , mshikaji wangu akajikaza kiume but truly got hurt and become heartless akaa kimya day ikaisha wakaagana akarudi home but jaama ananishauri anapenda saana na Mwanamke pia anhisi anampenda but jamaa ananiambia nimshauri afanyeje na exactly anajua ile cm ni mwanaume mwingine jamaa kaseviwa jina lake halisi . kanambia nimshauri etii mimi nikamuambia subiri kwanza niombe ushauri kwa wengine i will let ya know bruh
Wamepanga mengi mazuri wana malengo mazuri sana yaani hapa nitakachomuambia ndo atakachokifanya 100% ndo mana nimeomba ushauri kwanza
(1)nimejiuliza nikumuambia amuache akamuacha how bout the girl?
(2)Na nimejiuliza nikimuambia aendelee nae vip mwanamke akimtenda lawama si itakua kwangu wakuu
hili swala ni zito mm mwenyewe sitoliweza ushauri wako utakua ni muhimu
Asanteni.