Nimesomea ualimu Natafuta kazi yoyote

Nimesomea ualimu Natafuta kazi yoyote

We ni ME au KE?!!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Sasa ukisema kazi yeyote ni dalili ya kupoteza uelekeo. Ajira kwa waalimu bado hazijatoka?
 
nimemaliza ualimu mwezi huu nimejaribu kukaa nyumbani ila nakua boared nilisomea kufundisha Geography na Kiswahili natafta kazi yoyote asanten 0658825141

mpendwa your not serious,,,kabisa nakupoteza ada yote uliyolipa chuo,,leo unatafuta kazi yoyote,,,,,,,lol basi kukuzangu hazina mwangalizi,,mshahara, tsh 50,000/= kwa mwezi karibu
 
nimemaliza ualimu mwezi huu nimejaribu kukaa nyumbani ila nakua boared nilisomea kufundisha Geography na Kiswahili natafta kazi yoyote asanten 0658825141

Ndio maana sikujilaumu nilipoacha kazi ya ualimu,hata mimi ni mtaalamu sana wa somo la Geography,kweli usomee ualimu halafu ukaombe kazi yoyote,wewe bila shaka lazima tukupime akili yako vizuri kutumia kifaa kinaitwa RICTHER SCALE nadhani kama umesoma vizuri Geography utakuwa unakifahamu,nina uhakika akili na umri wako haviendani kabisaaa,umri umeenda ila akili yako ime-stuck miaka 20 iliyopita
 
tujitahidi kumshauri mtu zaidi badasla ya kumponda zaidi,ikiwezekana msaidie hakuna kitu kibaya kama kukatishwa tamaa.:embarassed2:
 
nimemaliza ualimu mwezi huu nimejaribu kukaa nyumbani ila nakua boared nilisomea kufundisha Geography na Kiswahili natafta kazi yoyote asanten 0658825141
Mkuu, mbona kazi za ualimu ndio pekee wanaoajiri moja kwa moja, pia ndio sehemu pekee ambayo ajira yake ipo kila sehemu hivyo nakushauri zungukia Shule mbalimbali omba hata kujitolea naamini kama output yako itakua nzuri hautakosa angalau ela ya kusukuma siku.
 
Mkuu, mbona kazi za ualimu ndio pekee wanaoajiri moja kwa moja, pia ndio sehemu pekee ambayo ajira yake ipo kila sehemu hivyo nakushauri zungukia Shule mbalimbali omba hata kujitolea naamini kama output yako itakua nzuri hautakosa angalau ela ya kusukuma siku.
Nadhani ni mpaka aandike barua ya maombi kwenda kwa Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu na Ufundi, S.L.P 9121, DSM.
 
tujitahidi kumshauri mtu zaidi badala ya kumponda zaidi,ikiwezekana msaidie hakuna kitu kibaya kama kukatishwa tamaa.:embarassed2:

Asante mkuu. Nyie ndio watu tunaowahitaji zaidi humu JF. Pamoja na hayo - hata hao wengine tunawahitaji wabadilike ili tusukume gurudumu.

Kwako mwalimu uliyetuma tangazo hili - ushauri wangu ni kuwa unaweza kupata mafanikio makubwa tu. Unachohitaji ni kuweka vizuri maandishi yako ili "target audience" iweze kuvutiwa na uwezo wako ambao naamini kabisa mwenyezi Mungu amekujalia - wala usikate tamaa. nakupa tu Mfano wa jinsi ambavyo ungeweza kuweka tangazo lako ili mtu aweze kuamini kuwa unao uwezo ulio nao......

Kwa mfano: Habari zenu wanajamvi, mimi ni mwalimu mwenye uledi katika masomo ya kiswahili na jiofrafia. Natafuta kazi ya kuajiliwa na ninaamini naweza kufanya kazi nyingi zinazoendana na masomo hayo kama vile kufundisha, uandishi, urepota, usomaji ramani, n.k. Pamoja na uledi huu, mimi nina vipaji vingine kama uimbaji kwaya, kucheza mpira, netiboli na pia nina hobby ya kutengeneza bustani na kufundisha watoto. Kwa kuzingatia maelezo haya, naomba mwenye kazi inayoendana na ueledi huu au vipaji nilivyotaja asikose kuwasiliana nami kwenye Namba ...... au email ........ Asante sana natarajia mema kutoka kwenu.
Wenu ......
Teaching - for better the brighter Tanzania.

Ujumbe kama huu utamvutia mtu kukusikiliza na kukusaidia/kuwasiliana nawe.
 
Yaani ungesema unatafuta kazi ya ualimu tungekusoma ila kusema kazi yeyote inatia mashaka kidogo.
 
Mohamed nterprises wanatafuta Salesmen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom