Nimesitisha kumuombea Rais

Nakushauri uanze kuomombea mabaya
 
sasa kama unabishana na Neno la Mungu juu ya Taifa lake teule, wewe utakuwa shetan ambae anauwa watu kwa siri alafu anakuja kuomba aombewe!
Bora niwe shetani tu kama ni kuwaombea wanyamahanga (chasaka) mm sipo tayari.W wewe endeleaga kuwaombea tu.Ila kama wewe unadai wao ni taifa teule la Mungu basi wewe ni kinyume chake.
 
Kama naanza kukuelewa vile
 
Bora niwe shetani tu kama ni kuwaombea wanyamahanga (chasaka) mm sipo tayari.W wewe endeleaga kuwaombea tu.Ila kama wewe unadai wao ni taifa teule la Mungu basi wewe ni kinyume chake.
Ni vizr kama unajijua wewe ni shetan so endelea na endeleeni na ushetan wenu wa kudhurumu Haki za watu wake na Mengne kwa kisingzio cha Mamlaka, but Mjue Mungu hadhihakiwi, soon Hasira ya Mungu Mtaiyona na mmesha anza Iyona, then Kuhusu Israel sijasema mim bali ni Neno lake Mwenyewe!
 
Hujitambui wewe!! Acha kumkashifu MUNGU.

Mungu yupi? Come on Mungu is not universal. Kila mmoja ana Mungu wake. Wewe ndiye hujitambui. Oxygen, O2, example, ni moja, Oxygen is a concept, but not Mungu.
 

Kama maombi yako yanakubaliwa Si uwaombee hao waliokosa mikopo wapate direct Na wasio Na pesa wapate, ujiombee Na wewe ujinga ukutoke halafu uone Kama Sir God atakysikia.
 
Alietunga wimbo wa tutaisoma namba apewe tuzo.
Afu huu wimbo mara ya kwanza kuusikia niliona unatutukana watz wazi wazi,ila baadae nilihis ccm wameamua kuukubal ili wasim-dissapoint komba,lakin alipokufa bado wakaendelea kuupga,tena kuna mwingne anaimba "ccm ni ile ile,ooo ni ile ile" lakin watz mambulula cjui huwa hatusikiliz maneno,tunasikilza mdundo tu
 
Kama maombi yako yanakubaliwa Si uwaombee hao waliokosa mikopo wapate direct Na wasio Na pesa wapate, ujiombee Na wewe ujinga ukutoke halafu uone Kama Sir God atakysikia.
Maombi yangu yangekuwa yanakubaliwa Rais asingetenda anavyoyenda leo.

Ndiyo maana nimestisha.
 
Sijui ni dini gani hiyo usichopata kile ulichokuwa unaomba katika maombi unaacha kuomba!
 
Jaman homa ya akili ni tofauti kidogo na mapepo maana pepo zitapugwa na kuisha ila homa ya akili inakuganda kama luba
 
Sijui ni dini gani hiyo usichopata kile ulichokuwa unaomba katika maombi unaacha kuomba!
Inategemea unaomba nini, kama ni uzima wa milele siwezi kuacha.

Halafu maombi yana kipindi chake kikiisha yanakuwa irrelevant.
 
Kumuombea Jamaa ni sawa na kuombea ISIS iendelee kuimarika...
 
Nimekukubali, facts za maana
 
Huyu atakua mfuasi wa Kakobe anae shinda kuomba kanisani akisubiri ugali utashuka kutoka mbinguni kama walivyo fanyiwa Waiziraeli enzi hizo.
Mambo hayo hayapo we kaa ukiomba kinafiki uone kama ujanyooka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…