Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,153
- 162,567
Labda wale wa kuteuliwa.Kama wewe hujapata kuna wenzio tayari. Subiri zamu yako. Usikate tamaa
Labda wale wa kuteuliwa.Kama wewe hujapata kuna wenzio tayari. Subiri zamu yako. Usikate tamaa
Mkuu sijakata tamaa ila nimeamua kujiombea mwenyewe.Kama kweli ulikuwa unaomba hutakiwi kukata tamaa.
Usitizame nyuma, endelea na maombi.
MUNGU ATAJIBU KWA WAKATI WAKE.
Kama sina faida mbona aliniomba nimwombea, si angesema basi wanaCCM tu ndio wamwombee.Wacha tu
Huna faida yeyote
Ujue Watanzania husali zaidi ya miaka hamsini ili mambo yaende lakini ndo yanadumaa, tusipende kutumia maneno matakatifu kuhalalisha ujinga, vitu vingine vinahtaji actions zaidi tusiwe ka wajima kusali tu huku hatutaki kutekeleza majukumu yetu, hapo itakuwa kupoteza mda na kumwomba mungu baali asiyejibu.wafilp 4:6 ."msijisumbue ktk neno lolote Bali katk kila neno kwa kuomba kusali pamoja na kushukuru"OMBA KWA AJIRI YA TANZANIA USICHOKE MUNGU ATAJIBU MAOMBI YAKO.
Vuta subira. Usichoke kuomba.Alipochaguliwa tu alitusihi Watanzania wote bila kujali itikadi zetu, makabila yetu na dini zetu tumwombee, kwa kile alichosema alichokikuta kule kilihitaji maombi.
Kweli kama Mtanzania nilianza maombi ya nguvu, nilitenga siku moja ya mwezi kufunga kwa ajili yake nikijua kazi aliyonayo ni ngumu na ya hatari.
Pamoja na kufanya hivyo, leo takriban mwaka unakwisha bila kuona faida ya maombi yangu. Maisha ndiyo yamezidi kuwa magumu afadhali ya mwaka jana.
Katika maombi yangu nilitegemea atakuwa rais wa wanyonge kama alivyoahidi.
Nilitegemea atakuwa rais wa vyama vyote, dini zote na makabila yote kama alivyoahidi. Nilitegemea rais atakuja kuwapata mikopo wanafunzi wote kama alivyoahidi.
Nilitegemea maombi yangu yatambadili na kutawala kwa haki kwa kufuata utawala wa sheria, rule of law. Nimesubiri ahadi yake ya ajira kwa vijana kama alivyoahidi, matokeo yake kaajiri vijana kwa kuangalia ukada na mbaya zaidi kaajiri vijana wenye ukakasi mbele ya jamii.
Matokeo ya maombi yangu ni kusitishwa kwa ajira, kunyanyaswa kwa watumishi wa umma kwa kisingizio cha kuhakiki wafanyakazi hewa.
Maombi yangu yamesababisha wafanyabiashara kunyanyaswa kwa kuongezewa kodi zisizo na ulazima.
Nilitegemea madawa yataongezeka mahospitalini, matokeo yake hata dawa ya chanjo kwa watoto imekosekana. Naona kama maombi yangu yanazidisha ugumu wa maisha kwa wananchi. Kwanini basi niendelee kuomba?
Kama mwaka jana niliishi vizuri, watoto walisoma bila kumwombea rais aliyekuwepo, ajira zilikuwepo wafanyakazi walipanda madaraja bila kumwombea rais aliyekuwepo, wanafunzi walipata mikopo tena wote bila kumwombea rais aliyekuwepo, kuna sababu gani basi kuendelea kumwombea aliyepo?
Nimestisha maombi.
Ni uamuzi wangu sijashinikizwa na mtu.
Quinine.
Kwa sasa nimeyaelekeza maombi yangu kuiombea Tanzania isiangamie.wafilp 4:6 ."msijisumbue ktk neno lolote Bali katk kila neno kwa kuomba kusali pamoja na kushukuru"OMBA KWA AJIRI YA TANZANIA USICHOKE MUNGU ATAJIBU MAOMBI YAKO.
Wewe ulikuwa lofa nanialikuambia shetani ukimwombea mema kwa mungu atapokea shetani aombewi mema bali maovu hivyo usiache kumwombea kwa mungu siku zote daima dumuAlipochaguliwa tu alitusihi Watanzania wote bila kujali itikadi zetu, makabila yetu na dini zetu tumwombee, kwa kile alichosema alichokikuta kule kilihitaji maombi.
Kweli kama Mtanzania nilianza maombi ya nguvu, nilitenga siku moja ya mwezi kufunga kwa ajili yake nikijua kazi aliyonayo ni ngumu na ya hatari.
Pamoja na kufanya hivyo, leo takriban mwaka unakwisha bila kuona faida ya maombi yangu. Maisha ndiyo yamezidi kuwa magumu afadhali ya mwaka jana.
Katika maombi yangu nilitegemea atakuwa rais wa wanyonge kama alivyoahidi.
Nilitegemea atakuwa rais wa vyama vyote, dini zote na makabila yote kama alivyoahidi. Nilitegemea rais atakuja kuwapata mikopo wanafunzi wote kama alivyoahidi.
Nilitegemea maombi yangu yatambadili na kutawala kwa haki kwa kufuata utawala wa sheria, rule of law. Nimesubiri ahadi yake ya ajira kwa vijana kama alivyoahidi, matokeo yake kaajiri vijana kwa kuangalia ukada na mbaya zaidi kaajiri vijana wenye ukakasi mbele ya jamii.
Matokeo ya maombi yangu ni kusitishwa kwa ajira, kunyanyaswa kwa watumishi wa umma kwa kisingizio cha kuhakiki wafanyakazi hewa.
Maombi yangu yamesababisha wafanyabiashara kunyanyaswa kwa kuongezewa kodi zisizo na ulazima.
Nilitegemea madawa yataongezeka mahospitalini, matokeo yake hata dawa ya chanjo kwa watoto imekosekana. Naona kama maombi yangu yanazidisha ugumu wa maisha kwa wananchi. Kwanini basi niendelee kuomba?
Kama mwaka jana niliishi vizuri, watoto walisoma bila kumwombea rais aliyekuwepo, ajira zilikuwepo wafanyakazi walipanda madaraja bila kumwombea rais aliyekuwepo, wanafunzi walipata mikopo tena wote bila kumwombea rais aliyekuwepo, kuna sababu gani basi kuendelea kumwombea aliyepo?
Nimestisha maombi.
Ni uamuzi wangu sijashinikizwa na mtu.
Quinine.
Alipotuomba tumwombee mbona hakuchagua, wewe ndio unaanza kubagua watu wa kumwombea.Hata usipomuombea wewe,wengi tunaompenda mungu anapokea maombi yetu
Nyie muombeeni mbowe azidi kutafuna ruzuku
si umeondoa mwenyewe?kwenda,sie tunasonga mbele,kamuombee mbowe azidi kuchota milioni 150 kwa mwezi bila kushtukiwaAlipotuomba tumwombee mbona hakuchagua, wewe ndio unaanza kubagua watu wa kumwombea.