Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
Mhh haya mengine tena
Napendekeza sheria iwe hivi
Mtoto wa umri chini ya miaka 18 hawezi kuridhia tendo la ngono au kukeketwa na adhabu inayotolewa kwa wanaume/Ngariba wanaokiuka sheria hii ni kifungo cha maisha au kifungo kisichopungua miaka 30 jela
Umependekeza haijapitishwa sawa Kimbweka???