Nimesikitishwa na Riba kubwa za Airtel Timiza Mikopo

Jadi

JF-Expert Member
Aug 2, 2011
1,494
860
Sio siri hawa Airtel wamepitiliza; imagine kukopa 25000 kwa wiki mbili unalipa riba 6000!!ambayo ni asilimia 25. Yaani BOT na TRA muwamulike hawa, wenzao wa Voda na Tigopesa wako chini ya asilimia 10, hawa ni wezi kabisa wamejaza matangazo mazuri kurubuni watu lakini wezi. Hata kama tunashida sio kutukomoa hivi, Mungu anawaona.
 
Sio siri hawa Airtel wamepitiliza; imagine kukopa 25000 kwa wiki mbili unalipa riba 6000!!ambayo ni asilimia 25. Yaani BOT na TRA muwamulike hawa, wenzao wa Voda na Tigopesa wako chini ya asilimia 10, hawa ni wezi kabisa wamejaza matangazo mazuri kurubuni watu lakini wezi. Hata kama tunashida sio kutukomoa hivi, Mungu anawaona.

Ah! Sasa wewe si ili Bodi ufahamu kila Kitu kuhusu huo mkopo kabla haujachukua?
Umechukua zimekusaidia sasa unakuja hapa kuwaharibia, kwa taarifa yako aliepewa KAPEWA meseji yako hii haitawaathiri popote, chochote.
 
Duh..mimi hata message zao za Timiza nikiziona nafuta..hata kusoma sizisomi. I am allergic na Mikopo! Shida ni nyingi lakini kwa kiasi kikubwa kuchukua mikopo kunaongeza matatizo baada ya kuyatatua aise.
 
Sio siri hawa Airtel wamepitiliza; imagine kukopa 25000 kwa wiki mbili unalipa riba 6000!!ambayo ni asilimia 25. Yaani BOT na TRA muwamulike hawa, wenzao wa Voda na Tigopesa wako chini ya asilimia 10, hawa ni wezi kabisa wamejaza matangazo mazuri kurubuni watu lakini wezi. Hata kama tunashida sio kutukomoa hivi, Mungu anawaona.
Tigo pia ni 16.9% voda ndo 9% kwa wiki tatu
 
Ni kweli voda bora kuliko wote ila airtel wamezidi. Sie maskini siku zote tunaonewa sana na hatuna namna
 
Ni kweli #Timiza wanaumiza , kwanza wana advantage mbili , wanapata pesa kupitia airtime na faida ya riba ya Timiza so kwa nini umuumize mteja wako ambae umempata kupitia main business yako (Mobile communications) wakati hiyo Timiza ni component of the main business?
20% to 30% hizo ni rates za mabenki ya biashara na juu ya sababu za kibiashara nazo bank nyingi zimeshusha rates zao hadi kufika 17% how comes nyie airtel #Airtel muwe na riba kubwa wakati gharama za kuendeshea Timiza hazifiki hata robo ya gharama za Vicoba?
 
Ni kweli voda bora kuliko wote ila airtel wamezidi. Sie maskini siku zote tunaonewa sana na hatuna namna
...Hakuna anayekuonea Mkuu. Unajionea mwenyewe maana hakuna anayekufunga kamba kukulazimisha uchukue huo mkopo!!!
 
Sio siri hawa Airtel wamepitiliza; imagine kukopa 25000 kwa wiki mbili unalipa riba 6000!!ambayo ni asilimia 25. Yaani BOT na TRA muwamulike hawa, wenzao wa Voda na Tigopesa wako chini ya asilimia 10, hawa ni wezi kabisa wamejaza matangazo mazuri kurubuni watu lakini wezi. Hata kama tunashida sio kutukomoa hivi, Mungu anawaona.
Nufundishe kukopa
 
Sisi VODA Mambo waaah!
VODA hatukwami!
Internet Kama yote!
MKOPO sawa na bure
Ka RIBA kaduuchu!
Fanyeni MKUJEE!!!!!
 
Back
Top Bottom