Jihadharini na wizi huu wa "mikopo" ya kampuni za simu!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,316
24,183
Tumesikia sasa kitambo ati kampuni za simu zinaweza kukukopesha kwa kupitia simu yako. Hakuna dhamana wala vurugu za kuomba mkopo. Na mkopo huo unaingiziwa katika akaunti yako kama X-Pesa.

Tatizo liko hapa:
Ukikopeshwa shilingi 100, riba yake ni 18% hadi 25% ambazo muda wa malipo ni WIKI MBILI au kipindi kifupi sana. Yaani ukikopa Tsh 100, kama riba ni 25% basi baada ya wiki mbili unalipa 125. Au ukikopa 100,000, baada ya wiki mbiki unalipa 125,000.

Hii ni principle ya mapapa wa kukopesha yaani LOAN SHARKS. Ni wizi wa mchana, daylight robbery!

Kulingana na gazeti la The Guardian-The Banker, la leo 5/10/2017, watuhumiwa waliotajwa ni TigoPesa na AirTel Money(Timiza). Benki Kuu(BOT) na FCC-Fair Competitions Commision wamesha sema shughuli hizo za "kibenki" hazijakaa sawa wateja wajihadhari sana na miradi hiyo za mitandao hiyo.

Kwa kufikiria tu, ni biashara ipi mtu unaweza kufanya ukakopa laki(100,000) , ukarudisha laki na ishirini na tano(125,000) na bado ukapata faida juu pamoja kulipia gharama za biashara!

Tuwe macho wajameni!
Kwa hiyo wateja wa huduma hizo shitukeni!
 
Tumesikia sasa kitambo ati kampuni za simu zinaweza kukukopesha kwa kupitia simu yako.
Hakuna dhamana wala vurugu za kuomba mkopo.
Na mopo huo unaingiziwa katika akaunti yako kama X-Pesa.

Tatizo liko hapa:
Ukikopeshwa shilingi 100, riba yake ni 18% hadi 25% ambazo muda wa malipo ni WIKI MBILI au kipindi kifupi sana.
Yaani ukikopa Tsh 100, kama riba ni 25% basi baada ya wiki mbili unalipa 125.
Au ukikopa 100,000, baada ya wiki mbiki unalipa 125,000.

Hii ni principle ya mapapa wa kukopeha yaani LOAN SHARKS.
Ni wizi wa mchana, daylight robbery!

Kulingana na gazeti la The Guardian-The Banker, la leo 5/10/2017, watuhumiwa waliotajwa ni TigoPesa na AirTel Money(Timiza).
Benki Kuu(BOT) na FCC-Fair Competitions Commision wamesha sema shughuli hizo za "kibenki" zimekaa kitapeli na wateja wajihadhari sana na miradi hiyo za mitando hiyo.

Kwa kufikiiria tu, ni biashara ipi mtu unaweza kfanya ukakopa laki(100,000) , ukarudisha laki na ishirini na tano(125,000) na bado ukapata faida juu pamojaa kulipia gharama za biashara!

Tuwe macho wajameni!
Kwa hiyo wateja wa

ni kwel mkuu hawa jamaa ni matapeli sana niliwahi kukopa tigo pesa huku narudisha kwa kwel interest ilikuwa kubwa sana nilichokifanya sasa nikiwa nakopa narudisha wananipandishia kiwango ilipofika laki moja nilikopa mpaka leo sijawarudishia na nimeacha tumia hiyo huduma maana ni utapeli nilitaka rudisha tu pesa yangu basi
 
Mi hata salio tu sikopi itakuwa hiyo!


Kuna jamaa zangu wapenzi sana wa hii kitu niliwaonya sana bila mafanikio. Ila sasa wamejifunza baada ya kuwakuta.
 
Tumesikia sasa kitambo ati kampuni za simu zinaweza kukukopesha kwa kupitia simu yako. Hakuna dhamana wala vurugu za kuomba mkopo. Na mkopo huo unaingiziwa katika akaunti yako kama X-Pesa.

Tatizo liko hapa:
Ukikopeshwa shilingi 100, riba yake ni 18% hadi 25% ambazo muda wa malipo ni WIKI MBILI au kipindi kifupi sana. Yaani ukikopa Tsh 100, kama riba ni 25% basi baada ya wiki mbili unalipa 125. Au ukikopa 100,000, baada ya wiki mbiki unalipa 125,000.

Hii ni principle ya mapapa wa kukopesha yaani LOAN SHARKS. Ni wizi wa mchana, daylight robbery!

Kulingana na gazeti la The Guardian-The Banker, la leo 5/10/2017, watuhumiwa waliotajwa ni TigoPesa na AirTel Money(Timiza). Benki Kuu(BOT) na FCC-Fair Competitions Commision wamesha sema shughuli hizo za "kibenki" zimekaa kitapeli na wateja wajihadhari sana na miradi hiyo za mitandao hiyo.

Kwa kufikiria tu, ni biashara ipi mtu unaweza kufanya ukakopa laki(100,000) , ukarudisha laki na ishirini na tano(125,000) na bado ukapata faida juu pamoja kulipia gharama za biashara!

Tuwe macho wajameni!
Kwa hiyo wateja wa huduma hizo shitukeni!
Riba ni kubwa sana ila tufanyeje tunakuwa na shida hivyo tunakopa tu. Ukichelewa kulipa unapigwa penalti kubwa kweli. Yaani ni wezi sana. Wancapitalise katika shida zetu.
 
Riba ni kubwa sana ila tufanyeje tunakuwa na shida hivyo tunakopa tu. Ukichelewa kulipa unapigwa penalti kubwa kweli. Yaani ni wezi sana. Wancapitalise katika shida zetu.
Hiyo riba ni mauaji!!!
Riba ya 25% per 2 weeks!
Kwa wale wanaojua mahesabu kuna vipindi vya wiki mbili 26 katika mwaka(yaani 52weeks/2weeks)
Hivyo basi, katika mwaka Deni ,D, kama ukikopa Principal P, inakuwa

The formula for annual compound interest, including principal sum, is:
D = P (1 + r/n) (nt)


Where:

D = the future value of the loan, including interest
P = the principal investment amount (the initial loan amount)
r = the period interest rate (decimal)
n = the number of times that interest is compounded per two weeks
t = the number of y two week periods the money is borrowed for(kama ni kipindi kimoja cha wiki mbile t=1, kama vipindi viwili vya wiki mbili t=2 au wiki nne, kama unakopa vipindi 26 vya mwaka =26)




Haya sasa wana mahesabu ya uchumi karibuni kwa masahihisho.
 
Asante kwa kutushtua mkuu.
Lakini njaa zetu na uhitaji wa Pesa unatufanya tubakuvaliana na upuuzi huu.

Na Wao wanapitia hapo hapo kwa kuwa hali zetu ni ngumu.
 
Hiyo riba ni mauaji!!!
Riba ya 25% per 2 weeks!
Kwa wale wanaojua mahesabu kuna vipindi vya wiki mbili 26 katika mwaka(yaani 52weeks/2weeks)
Hivyo basi, katika mwaka Deni ,D, kama ukikopa Principal P, inakuwa

The formula for annual compound interest, including principal sum, is:
D = P (1 + r/n) (nt)


Where:

D = the future value of the loan, including interest
P = the principal investment amount (the initial loan amount)
r = the period interest rate (decimal)
n = the number of times that interest is compounded per two weeks
t = the number of y two week periods the money is borrowed for(kama ni kipindi kimoja cha wiki mbile t=1, kama vipindi viwili vya wiki mbili t=2 au wiki nne, kama unakopa vipindi 26 vya mwaka =26)




Haya sasa wana mahesabu ya uchumi karibuni kwa masahihisho.
Ngoja nikapime mkojo kwanza halafu nitarudi...!
 
Tanzania bana, majambazi wanajulikana wapo wapi, wanafanya uhalifu kwa kutumia silaha gani lakini raia mnaambiwa msipite njia ile.
Sheria zinasemaje kuhusu wizi huu wa makampuni ya simu?
 
Mi hata salio tu sikopi itakuwa hiyo!


Kuna jamaa zangu wapenzi sana wa hii kitu niliwaonya sana bila mafanikio. Ila sasa wamejifunza baada ya kuwakuta.
Upo kama mimi, kukopa salio hata iweje huwa sikopi. Kama ni dharura ndani ya dk.5 nshanunua vocha lakini sio kukopa.
 
Umesahau pia ukikopa hiyo laki moja,ukitoa wanakukata tena ada ya ku-withdraw ambayo ni Tsh.2500/=. Kwa hiyo utakuwa umekopa Tsh.97500/=. Hatari sana!!!!
 
Wizi huu hauhitaji degree kuutambua ni wizi wa wazi kbs na tunaibiwa kwa njaa zetu kwani wakopeshaji hawalazimishi.
 
Hiyo riba ni mauaji!!!
Riba ya 25% per 2 weeks!
Kwa wale wanaojua mahesabu kuna vipindi vya wiki mbili 26 katika mwaka(yaani 52weeks/2weeks)
Hivyo basi, katika mwaka Deni ,D, kama ukikopa Principal P, inakuwa

The formula for annual compound interest, including principal sum, is:
D = P (1 + r/n) (nt)


Where:

D = the future value of the loan, including interest
P = the principal investment amount (the initial loan amount)
r = the period interest rate (decimal)
n = the number of times that interest is compounded per two weeks
t = the number of y two week periods the money is borrowed for(kama ni kipindi kimoja cha wiki mbile t=1, kama vipindi viwili vya wiki mbili t=2 au wiki nne, kama unakopa vipindi 26 vya mwaka =26)




Haya sasa wana mahesabu ya uchumi karibuni kwa masahihisho.
Unatumia maarifa makubwa kumkamata mwizi alie dhihiri
 
Nauliza tu, nikikopa laki moja halafu nikasajili laini nyingine kwa elfu moja na kuachana na ile laini niliyokopea, itakuwaje?
 
Hiyo riba ni mauaji!!!
Riba ya 25% per 2 weeks!
Kwa wale wanaojua mahesabu kuna vipindi vya wiki mbili 26 katika mwaka(yaani 52weeks/2weeks)
Hivyo basi, katika mwaka Deni ,D, kama ukikopa Principal P, inakuwa

The formula for annual compound interest, including principal sum, is:
D = P (1 + r/n) (nt)


Where:

D = the future value of the loan, including interest
P = the principal investment amount (the initial loan amount)
r = the period interest rate (decimal)
n = the number of times that interest is compounded per two weeks
t = the number of y two week periods the money is borrowed for(kama ni kipindi kimoja cha wiki mbile t=1, kama vipindi viwili vya wiki mbili t=2 au wiki nne, kama unakopa vipindi 26 vya mwaka =26)




Haya sasa wana mahesabu ya uchumi karibuni kwa masahihisho.
Unatumia maarifa makubwa kumkamata mwizi alie dhihiri
 
Back
Top Bottom