Mi sina chama chochote cha kisiasa ila alichokiandika Mch. Msigwa ni Uongo na unafiki kwa kutaka kuwaaminisha wananchi ambao wapo mbali na Iringa ukweli anatakiwa ajilaumu yeye na kamat yake iliyomuweka mgombea ambaye sio chaguo sahihi kwa kuthibitsha hilo jana nlikuwa maeneo ya kata ya Nduli kwa utafit ambao nimefanya na elimu yangu ambayo mwenyez Mungu kanijaalia ni dhahir kuwa Mgombea wa upande wa CDM hakuwa na Mashiko na kingine ni siasa za vurugu ambazo Mch Msigwa amezifanya kabla ya uchaguz ndo kimewagharimu CDM.
Tumeshindwa kata ya nduli Iringa MJINI , polisi imetumika kwa nguvu kubwa kusaidia CCM ishinde , nimewekwa ndani kwa kosa amabalo sikutenda na Kisha kufikishwa mahakamani, Leo nilikamatwa tena nikazuiliwa masaa mtatu na vijana wangu 25 wapo polisi eti kwa kosa la kwenda kwenye eneo la kata.