Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
- Thread starter
- #41
THE SADDEST PART NI PALE WAKUBWA WANAPOKUA WAPOFU WA MATENDO DHALIMU KAMA KUOKOTA VITOTO VYA PRIMARY NA KARANDINGA, WATOTO WA KIKE WAMENYANYASWA ZAIDI KIJINSIA NA NI LAANA isiyoepukika
Ni jambo ambalo haliwezi kuingia akilini mwangu kabisa, ila ipo siku watakuwa na la kuwajibika kwa haya.