Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,195
Genge la wahuni kwenda magogoni tunategemea nini?
So sad... Kila chenye mwanzo kina mwisho
Hawa askari kweli wamediriki kufanya hayo kwa watoto ? Madhara yake wanayajua in a long run ?
Candid Scope, tatizo kubwa tulilo nalo sisi Wabongo ni kufikiri kuwa tuna serikali. Hiki tulicho nacho ni genge la mafisadi (kleptocractic regime). Kwa hivyo, kusema huwezi "kuelewa serikalini kuna matatizo gani" ni bahati mbaya kufikiri hivyo -Bongo hakuna serikali!
Hawa askari kweli wamediriki kufanya hayo kwa watoto ? Madhara yake wanayajua in a long run ?
Ile picha ya mtoto akipanda karandinga pasipo uoga inaongea mengi sana. I hope watawala wanasoma kinachoendelea - wasipuuzie na kudharau
Mbona sijaona hizo silaha za kivita ?
Ile picha ya mtoto akipanda karandinga pasipo uoga inaongea mengi sana. I hope watawala wanasoma kinachoendelea - wasipuuzie na kudharau
Kitu wasichojua serkali ni kuwa mwaka 2010 walilazimisha wanafunzi wa vyuo wasipige kura. 2015 Hawa watapiga kura za kisasi maana hawakururahishwa na uonevu waliofanyiwa. Je mtoto anayepigwa bomu leo na kupandishwa karandinga lini atakuja ipenda serkali ya ccm na kuisadia polisi katika mpango wake wa polisi jamii. Mtoto huyu atakua na chuki na shauku ya kisasi. Siku akipata nafasi anafanya kweli. Inanikumbusha sinema ya Sarafina.