GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Ni mwaka wa tatu toka afunge ndoa na mumewe, mumewe ni Dereva
kwenye kampuni ya......... (Naistiri) amepatwa na ugonjwa wa kupararaiz
mwaka jana. Baada ya jitihada kubwa za madaktari kwa sasa angalau
anaweza kutembea umbali mfupi, lakini kwa upande wa tendo la ndoa ndio
basi tena.
Anacholalamika mkewe ni kwamba mumewe amekuwa anamtuhumu
na kumtukana kila siku kuwa ana wanaume wengine huko nje, matusi na kero
za huyu mwanaume zimezidi ndo akafikia kuniuliza hili swali afanyeje? aachane nae?
Kinachomkera zaidi ni hayo matusi na kelele za kutuhumiwa mara kwa mara
SWALI LANGU SI LA HUYO MAMA.
Katika hali kama hiyo ya mwanaume kushindwa kufanya tendo la ndoa na Juhudi
za madaktari zimeshindikana mwanamke unafanya nini haliyakuwa bado damu
inachemka na pingu za maisha mshafunga......... Dada zangu nijibuni.
AMANI KWENU
kwenye kampuni ya......... (Naistiri) amepatwa na ugonjwa wa kupararaiz
mwaka jana. Baada ya jitihada kubwa za madaktari kwa sasa angalau
anaweza kutembea umbali mfupi, lakini kwa upande wa tendo la ndoa ndio
basi tena.
Anacholalamika mkewe ni kwamba mumewe amekuwa anamtuhumu
na kumtukana kila siku kuwa ana wanaume wengine huko nje, matusi na kero
za huyu mwanaume zimezidi ndo akafikia kuniuliza hili swali afanyeje? aachane nae?
Kinachomkera zaidi ni hayo matusi na kelele za kutuhumiwa mara kwa mara
SWALI LANGU SI LA HUYO MAMA.
Katika hali kama hiyo ya mwanaume kushindwa kufanya tendo la ndoa na Juhudi
za madaktari zimeshindikana mwanamke unafanya nini haliyakuwa bado damu
inachemka na pingu za maisha mshafunga......... Dada zangu nijibuni.
AMANI KWENU