Nimeshindwa kusema naomba kinga dukani

Nimeshindwa kusema naomba kinga dukani

Mi huwa nasema nipe soksi ya mguu wa kati.
 
Sasa aibu ya nin funguka tu unamuonea aibu mama yako huo
 
Hivi whats so difficult about asking for condoms??
 
Piga kavu wewe condom za nini..usiende kinyume na maagizo ya kuijaza dunia..condom ni adui wa maandiko
 
usiogope kijana.....

2353060277_41cc9d53ce_b.jpg

mkuu nimeshituka sana kwani watu walikua wengi
sema hapa wamepungua
 
Bora utamke majestically kuwa nipe condom kuliko fedheha ya kununua Arvs na kuhudhuria clinics.

daah mkuu umeenda mbali sana
hiyo foleni naiogopa sana na ndio maana najilinda sana
 
Sasa tena ikawaje? Ulirejea ukatumia mfuko wa Rambo au ulighairisha mechi mpaka uende hospital? Na huko Hospital unasemaje Kama unataka wakati kuna watu wengi afadhali ya pharmacy ....

muda wa kutaka kuzitumia ilikua mchana saa saba lakini mkuu nilisubiri mpaka usiku ulipoingia nikarudi tena nikamkuta jamaa mambo yakawa poa pia watu hawapo muda huo.
 
Kuna jamaa yangu(jf member) aling'oa mtoto mkali ambaye ni muuzaji wa pharmacy. Alienda kununua kondomu akamkuta huyo mtoto. Siku ya pili akapata ujumbe toka kwa muuza kondomu kuwa amezimikiwa. Kilichofuata hapo umeme ulikatika so sikujua mbeleni.

huyu dada alizimika na nini?
Au jamaa aliacha chenji pharmacy!
 
nakupa plans za kuombea condom(s) dukani kama kweli unajipenda..!

kwanza aibu ulizonazo, jaribu kuwa unaomba kalamu na karatasi kwa nesi kwanza, mwambie kuna dawa unashindwa

kuitamka hivyo, unataka kuiandika!! then, andika hichoo unachokitaka, tena andika ni ngapi kabisaaa ili usimchanganye!!

hii PLAN A lazima tu itakuwa applicable kwa sababu hakuna duka la dawa ambalo halina kalamu na karatasi kwa ajili ya

kuwaandikia wagonjwa wao dosage, therefore, hapa umefaulu kwa asilimia 100. Trust me, no more worries here!!

pili, incase plan A fails,.... plan B says Plan A is the best! so, go for plan A!

Thank you!

ahsante mkuu Excel kwa plan applicable!
 
Last edited by a moderator:
Mwambie mhudumu unataka panadol za watu wazima...zile za tatu mara moja atakuelewa tuu
 
Mkuu unanunua dozen ngapi kwa wiki? Kama unashindwa kutamka neno kondomu basi sema nipe gloves za mgegedo atakuelewa au kama hajaelewa muonyeshe kwa vitendo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom