scatter
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,671
- 940
wakuu naombeni uzoefu wenu huku mitaani.
Kwangu mimi hizi zana huwa naendaga hospital nazoa za kutosha na huwa nakuwa huru kwani hakuna mtu anayekufuatilia
Sasa leo ziliniishia nakona isiwe tabu nikaenda duka la dawa kujinunulia mzigo .kufika pale nikakutana na mhudumu mzuuuri akiwa ana hudumia wateja mdomo wangu ukawa mzito.
Je wakuu pakiwa na watu wengi ni neno gani la kutamka bika kuharibu maana kwa watu kuwa labda ni mzinzi!!
Kwangu mimi hizi zana huwa naendaga hospital nazoa za kutosha na huwa nakuwa huru kwani hakuna mtu anayekufuatilia
Sasa leo ziliniishia nakona isiwe tabu nikaenda duka la dawa kujinunulia mzigo .kufika pale nikakutana na mhudumu mzuuuri akiwa ana hudumia wateja mdomo wangu ukawa mzito.
Je wakuu pakiwa na watu wengi ni neno gani la kutamka bika kuharibu maana kwa watu kuwa labda ni mzinzi!!