Nimeshindwa kufanya mapenzi

Nimeshindwa kufanya mapenzi

Habari zenu wanaJF. Nakuja kwenu rasmi kuomba msaada wa mawazo na ushauri. Mimi nimetokea kumpenda dada mmoja mrembo kabisa na ana kila sifa ya mwanamke bora, yupo smart, intelligent na very informed, nilimtaka kimapenzi na baada ya muda Mrefu wa kuwa Na confidence na mimi alinikubali. Tulipanga siku kukutana Kwa ajili ya mazungumzo, nilitafuta hotel nzuri ya 4 star na tukawa na muda mwingi sana wa mazungumzo na baadae kufika kwenye tendo lenyewe. Ukweli hisia zangu zipo juu mno na nina mpenda sana na nia yangu na furaha yangu ilikuwa kumpa mambo mpaka afurahi na alidhike kweli, Cha kustaajabisha, nilishindwa kufanya nae sex onavyopaswa, ukweli ni kwamba ilikuwa inanichukua muda mrefu sana kisimama na kuhitaji tena, hivyo nilifanya nae goal 2 hafifu mno.

Ukweli alisikitika sana halikadharika mimi pia, kwani uwezo wangu naujua vyema. Baada ya hapo tulipanga tena na katika kipindi kisichozidi wiki 3 tulikutana nae lakini hali ilazidi kuwa mbaya zaidi, mara ya mwisho kabisa ni pale tulipofanya romance na ukipofika hatua ya kuvuana chupi na kufanya tendo lenyewe uume wangu ukasinzia kabisa. Nilipatwa na hasira sana pia dada wa watu, ajabu sasa ni pale ambapo nikiachana nae dakika 2 tu najikuta nahitaji sana.

Ndugu zangu nimeshindwa kuelewa nini kimetokea, lakini ukweli wa moyo wangu bado nampenda sana na ninajua ninao uwezo mkubwa katika eneo hilo. Ninayo mifano mingi sana kwani nimekuwa na mahusiano mengi huko nyuma na baadhi yao mpaka Leo bado wanataka ingawa ni wake za watu.

Naombeni msaada na ushauri wenu.

umewahi sikia ukikamia sana coca cola na pilau itakupalia? hlo ndo tatizo lako.... acha papara! amini uko na demu wa kawaida sana, kama yule hausgel wa jirani yenu!
 
kafunge ndoa hacha kuzini mambo yatakuwa sawa unaowaendea sio wako
 
Habari zenu wanaJF. Nakuja kwenu rasmi kuomba msaada wa mawazo na ushauri. Mimi nimetokea kumpenda dada mmoja mrembo kabisa na ana kila sifa ya mwanamke bora, yupo smart, intelligent na very informed, nilimtaka kimapenzi na baada ya muda Mrefu wa kuwa Na confidence na mimi alinikubali. Tulipanga siku kukutana Kwa ajili ya mazungumzo, nilitafuta hotel nzuri ya 4 star na tukawa na muda mwingi sana wa mazungumzo na baadae kufika kwenye tendo lenyewe. Ukweli hisia zangu zipo juu mno na nina mpenda sana na nia yangu na furaha yangu ilikuwa kumpa mambo mpaka afurahi na alidhike kweli, Cha kustaajabisha, nilishindwa kufanya nae sex onavyopaswa, ukweli ni kwamba ilikuwa inanichukua muda mrefu sana kisimama na kuhitaji tena, hivyo nilifanya nae goal 2 hafifu mno.

Ukweli alisikitika sana halikadharika mimi pia, kwani uwezo wangu naujua vyema. Baada ya hapo tulipanga tena na katika kipindi kisichozidi wiki 3 tulikutana nae lakini hali ilazidi kuwa mbaya zaidi, mara ya mwisho kabisa ni pale tulipofanya romance na ukipofika hatua ya kuvuana chupi na kufanya tendo lenyewe uume wangu ukasinzia kabisa. Nilipatwa na hasira sana pia dada wa watu, ajabu sasa ni pale ambapo nikiachana nae dakika 2 tu najikuta nahitaji sana.

Ndugu zangu nimeshindwa kuelewa nini kimetokea, lakini ukweli wa moyo wangu bado nampenda sana na ninajua ninao uwezo mkubwa katika eneo hilo. Ninayo mifano mingi sana kwani nimekuwa na mahusiano mengi huko nyuma na baadhi yao mpaka Leo bado wanataka ingawa ni wake za watu.

Naombeni msaada na ushauri wenu.

Hahahaha ameekuwekea sindano huyo, anakufanyia makusudi
 
Habari zenu wanaJF. Nakuja kwenu rasmi kuomba msaada wa mawazo na ushauri. Mimi nimetokea kumpenda dada mmoja mrembo kabisa na ana kila sifa ya mwanamke bora, yupo smart, intelligent na very informed, nilimtaka kimapenzi na baada ya muda Mrefu wa kuwa Na confidence na mimi alinikubali. Tulipanga siku kukutana Kwa ajili ya mazungumzo, nilitafuta hotel nzuri ya 4 star na tukawa na muda mwingi sana wa mazungumzo na baadae kufika kwenye tendo lenyewe. Ukweli hisia zangu zipo juu mno na nina mpenda sana na nia yangu na furaha yangu ilikuwa kumpa mambo mpaka afurahi na alidhike kweli, Cha kustaajabisha, nilishindwa kufanya nae sex onavyopaswa, ukweli ni kwamba ilikuwa inanichukua muda mrefu sana kisimama na kuhitaji tena, hivyo nilifanya nae goal 2 hafifu mno.

Ukweli alisikitika sana halikadharika mimi pia, kwani uwezo wangu naujua vyema. Baada ya hapo tulipanga tena na katika kipindi kisichozidi wiki 3 tulikutana nae lakini hali ilazidi kuwa mbaya zaidi, mara ya mwisho kabisa ni pale tulipofanya romance na ukipofika hatua ya kuvuana chupi na kufanya tendo lenyewe uume wangu ukasinzia kabisa. Nilipatwa na hasira sana pia dada wa watu, ajabu sasa ni pale ambapo nikiachana nae dakika 2 tu najikuta nahitaji sana.

Ndugu zangu nimeshindwa kuelewa nini kimetokea, lakini ukweli wa moyo wangu bado nampenda sana na ninajua ninao uwezo mkubwa katika eneo hilo. Ninayo mifano mingi sana kwani nimekuwa na mahusiano mengi huko nyuma na baadhi yao mpaka Leo bado wanataka ingawa ni wake za watu.

Naombeni msaada na ushauri wenu.

Unaomba msaada ukafanye dhambi!!!!...go yo hellll.
 
piga bia jombaa alafu uliipania sana papuchi yake kumbe ni ya kawaida tu acha kuogopa uzuri wa sura mzigo ni ule ule tu.
 
Habari zenu wanaJF. Nakuja kwenu rasmi kuomba msaada wa mawazo na ushauri. Mimi nimetokea kumpenda dada mmoja mrembo kabisa na ana kila sifa ya mwanamke bora, yupo smart, intelligent na very informed, nilimtaka kimapenzi na baada ya muda Mrefu wa kuwa Na confidence na mimi alinikubali. Tulipanga siku kukutana Kwa ajili ya mazungumzo, nilitafuta hotel nzuri ya 4 star na tukawa na muda mwingi sana wa mazungumzo na baadae kufika kwenye tendo lenyewe. Ukweli hisia zangu zipo juu mno na nina mpenda sana na nia yangu na furaha yangu ilikuwa kumpa mambo mpaka afurahi na alidhike kweli, Cha kustaajabisha, nilishindwa kufanya nae sex onavyopaswa, ukweli ni kwamba ilikuwa inanichukua muda mrefu sana kisimama na kuhitaji tena, hivyo nilifanya nae goal 2 hafifu mno.

Ukweli alisikitika sana halikadharika mimi pia, kwani uwezo wangu naujua vyema. Baada ya hapo tulipanga tena na katika kipindi kisichozidi wiki 3 tulikutana nae lakini hali ilazidi kuwa mbaya zaidi, mara ya mwisho kabisa ni pale tulipofanya romance na ukipofika hatua ya kuvuana chupi na kufanya tendo lenyewe uume wangu ukasinzia kabisa. Nilipatwa na hasira sana pia dada wa watu, ajabu sasa ni pale ambapo nikiachana nae dakika 2 tu najikuta nahitaji sana.

Ndugu zangu nimeshindwa kuelewa nini kimetokea, lakini ukweli wa moyo wangu bado nampenda sana na ninajua ninao uwezo mkubwa katika eneo hilo. Ninayo mifano mingi sana kwani nimekuwa na mahusiano mengi huko nyuma na baadhi yao mpaka Leo bado wanataka ingawa ni wake za watu.

Naombeni msaada na ushauri wenu.

Ni aina fulani ya ugonjwa wa sexphobia unampenda mtu kupitiliza unamuona ni so special kiasi kwamba hiyo hali inakuja kuathiri mpaka hisia zako hivyo unapokuwa naye unapata panic fulani ya ndani mpaka unashindwa kufanya lolote
Kama unaweza tumia whysky kidogo itaweka mambo sawa
 
Ni aina fulani ya ugonjwa wa sexphobia unampenda mtu kupitiliza unamuona ni so special kiasi kwamba hiyo hali inakuja kuathiri mpaka hisia zako hivyo unapokuwa naye unapata panic fulani ya ndani mpaka unashindwa kufanya lolote
Kama unaweza tumia whysky kidogo itaweka mambo sawa

mtani we need more elaboration about this please..
 
Habari zenu wanaJF. Nakuja kwenu rasmi kuomba msaada wa mawazo na ushauri. Mimi nimetokea kumpenda dada mmoja mrembo kabisa na ana kila sifa ya mwanamke bora, yupo smart, intelligent na very informed, nilimtaka kimapenzi na baada ya muda Mrefu wa kuwa Na confidence na mimi alinikubali. Tulipanga siku kukutana Kwa ajili ya mazungumzo, nilitafuta hotel nzuri ya 4 star na tukawa na muda mwingi sana wa mazungumzo na baadae kufika kwenye tendo lenyewe. Ukweli hisia zangu zipo juu mno na nina mpenda sana na nia yangu na furaha yangu ilikuwa kumpa mambo mpaka afurahi na alidhike kweli, Cha kustaajabisha, nilishindwa kufanya nae sex onavyopaswa, ukweli ni kwamba ilikuwa inanichukua muda mrefu sana kisimama na kuhitaji tena, hivyo nilifanya nae goal 2 hafifu mno.

Ukweli alisikitika sana halikadharika mimi pia, kwani uwezo wangu naujua vyema. Baada ya hapo tulipanga tena na katika kipindi kisichozidi wiki 3 tulikutana nae lakini hali ilazidi kuwa mbaya zaidi, mara ya mwisho kabisa ni pale tulipofanya romance na ukipofika hatua ya kuvuana chupi na kufanya tendo lenyewe uume wangu ukasinzia kabisa. Nilipatwa na hasira sana pia dada wa watu, ajabu sasa ni pale ambapo nikiachana nae dakika 2 tu najikuta nahitaji sana.

Ndugu zangu nimeshindwa kuelewa nini kimetokea, lakini ukweli wa moyo wangu bado nampenda sana na ninajua ninao uwezo mkubwa katika eneo hilo. Ninayo mifano mingi sana kwani nimekuwa na mahusiano mengi huko nyuma na baadhi yao mpaka Leo bado wanataka ingawa ni wake za watu.

Naombeni msaada na ushauri wenu.

amri ya 6. USIZINI ... over!
 
tatizo mkuu huyo dem ni umempenda kwa jinsi alivyo na sio kwa sex,simulation zako haziko kimapenzi nae ila moyo unampenda sana na wanawake wa dizaini hiyo wako wengi na pindi pale ambapo unakuanae faraga mwili huchange kama hali ya ubaridi flani inaeletwa na kauoga flani ambako ni nomal sana basi hapo ndugu ikisimama ni sk40 then inalala hiyo hali ilishawai kunitokea.
 
nauza samaki wa mapambo
aina tofauti kama zifuatavyo
black more
shiling 10000 kwa pea serfin
more
shiling 10000 kwa pea orange more shiling 10000
kwa pea gapi wekundu
shiling 10000 kwa pea gold fish
shilingi10000 kwa pea na aina
nyingine nyingi kwa
picha zaidi tembelea facebook page
appolinary william utaona picha
ya samaki
kwa picha na mawasiliano
whats app number 0712505049
huduma hadi nyumbani kwako

Nimekwambia niekee kilo 3 kesho nibadili mboga.
 
Habari zenu wanaJF. Nakuja kwenu rasmi kuomba msaada wa mawazo na ushauri. Mimi nimetokea kumpenda dada mmoja mrembo kabisa na ana kila sifa ya mwanamke bora, yupo smart, intelligent na very informed, nilimtaka kimapenzi na baada ya muda Mrefu wa kuwa Na confidence na mimi alinikubali. Tulipanga siku kukutana Kwa ajili ya mazungumzo, nilitafuta hotel nzuri ya 4 star na tukawa na muda mwingi sana wa mazungumzo na baadae kufika kwenye tendo lenyewe. Ukweli hisia zangu zipo juu mno na nina mpenda sana na nia yangu na furaha yangu ilikuwa kumpa mambo mpaka afurahi na alidhike kweli, Cha kustaajabisha, nilishindwa kufanya nae sex onavyopaswa, ukweli ni kwamba ilikuwa inanichukua muda mrefu sana kisimama na kuhitaji tena, hivyo nilifanya nae goal 2 hafifu mno.

Ukweli alisikitika sana halikadharika mimi pia, kwani uwezo wangu naujua vyema. Baada ya hapo tulipanga tena na katika kipindi kisichozidi wiki 3 tulikutana nae lakini hali ilazidi kuwa mbaya zaidi, mara ya mwisho kabisa ni pale tulipofanya romance na ukipofika hatua ya kuvuana chupi na kufanya tendo lenyewe uume wangu ukasinzia kabisa. Nilipatwa na hasira sana pia dada wa watu, ajabu sasa ni pale ambapo nikiachana nae dakika 2 tu najikuta nahitaji sana.

Ndugu zangu nimeshindwa kuelewa nini kimetokea, lakini ukweli wa moyo wangu bado nampenda sana na ninajua ninao uwezo mkubwa katika eneo hilo. Ninayo mifano mingi sana kwani nimekuwa na mahusiano mengi huko nyuma na baadhi yao mpaka Leo bado wanataka ingawa ni wake za watu.

Naombeni msaada na ushauri wenu.
Sure, huitaji kupigwa starter?? Vijana siku hizi umri ukienda kidogo mpaka starter...
Sio wote lakini sitaki kukwaza watu
 
Ngoja nikujibu Mdogo wangu, kuna kitu kinaitwa over excitation, ni hali ambayo unakuwa umeijenga juu ya huyo dada sana ni kama unataka kumunyesha maajabu ili akupende kwa kupitia sex, hili tatizo huwa linazidi na baadae utashindwa kabisa kwani kila ukikutana naye utajaribu kufuta makosa ya nyuma. pia unapofanya maandalizi makubwa sana kwenye sex huwa halo hiyo hujitokeza, ni vizuri msijiandae sana yaani mnapanga one week before, itokee tuu either mpo room mnaangalia movie na usimwambie kuwa mnakuja kusex, pia hata kama mtakutana guest basi msiende short time, muende mlale na msianze sex kabisa mpaka usiku wa manane tena asikuanze umuanze wewe kwani akikuanza utaanza tena kuwa na over feelings.
Kitu kingine nachokiona, kwanza huyo dada ameshaliona hilo kama tatizo na pia amekujengea mawazo kuwa kama hutamridhisha atakuacha, hilo ni tatizo kubwa na ni kweli mwisho wa siku atakuonyesha dharau na mtaachana.
Ngoja nikupe ushuuda, nikiwa chuo mwaka wa tatu nilipata kademu ka mwaka wa kwanza, sasa kabla hatujafanya sex ikawa kila mara ananisumbua kuwa anataka tufanye, kwa siku anaweza kunitumia SMS hata kumi kuwa mbona simsikilizi, mimi bado sikuwa tayari ila kwa kuwa nilimpenda tukaenda, kufika chumbani akaanza makeke meengi huku akiniharakisha dah kitu kikagoma kusimama, kama dakika tano tuu akaanza ohoo umenipotezea muda wangu, fanya tuondoke au niondoke zangu, au husimamishi dah nikaendelea kushindwa zaidi, akaamka faster akavaa akaondoka kwa hasira, lile tukio lilidumu kichwani kwa zaidi ya miezi mitano kwani mara ya pili hali ilizidi kuwa mbaya zaidi akawa ananiambia niende hospital eti nina tatizo wakati mimi mwenyewe najijua, kweli nilienda, doctor hakuona tatizo ila akaniambia umepata mshtuko na kisaikolojia hauko fit. Siku ziliendelea mpaka nikawa nasahau kidogo kidogo mwisho nikasahau tukaanza kufanya, ila neno moja ambalo sitasahau aliniambia sasa kama huwezi tutazaaje tukioana, huwa linaniuma mpaka Leo, cha ajabu mm nimeoa na ndoa iko strong na yeye ameolewa ila hajazaa mwaka wa nne huu .
So we relax tuu, na usitumie dawa yeyote ile huna tatizo la nguvu za kiume.

Nakusoma kwa jicho la 3D..
 
Umepgwa juju wewee.acha uzoba demu itakiwa anafahamu mchezo mMa.labda ameznguana na mtu wake,kaekewa tego huyo dume yoyote hapand kula mzgo
 
Back
Top Bottom