Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,200
- 3,761
Naombeni msaada wa tatizo ninalokabiliana nalo tokea Sept 2012 hadi sasa.
Nikilala siwezi kutumia upande wa kushoto na pindi nikifanya hivyo naona kila kitu kinazungunga mle chumbani na mara nasikia kichefuchefu nakuanza kutapika.
Niliwahi kwenda kwa wataalamu wa Masikio akaaniambia hiyo ni center ya sikio imehama, akanipa dawa haikusaidia, nikaenda mahali pengine, wakasema kitu hicho hicho, na moja wa Madactari aliniuliza kama nimewahi kuanguka na gari, au kama nimewahi kupata ajali iliyohusisha kichwa kuumia sana, lakini hiyo haijawahi kunitokea.
Tafadhalini sana kwa mtu yeyote, daktari, mtaalamu mwenye idea na kinachonisibu anisaidie,naomba msaada wenu wadau.
Nikilala siwezi kutumia upande wa kushoto na pindi nikifanya hivyo naona kila kitu kinazungunga mle chumbani na mara nasikia kichefuchefu nakuanza kutapika.
Niliwahi kwenda kwa wataalamu wa Masikio akaaniambia hiyo ni center ya sikio imehama, akanipa dawa haikusaidia, nikaenda mahali pengine, wakasema kitu hicho hicho, na moja wa Madactari aliniuliza kama nimewahi kuanguka na gari, au kama nimewahi kupata ajali iliyohusisha kichwa kuumia sana, lakini hiyo haijawahi kunitokea.
Tafadhalini sana kwa mtu yeyote, daktari, mtaalamu mwenye idea na kinachonisibu anisaidie,naomba msaada wenu wadau.