Nimeshikwa live

Nimeshikwa live

sentesi ya mbili ikanifanya niache kuendelea kusoma
 
Wasee niajeee?

My story, sahii naandika niko kwa keja ya mbochi wa Akina Lisa.
For the time being huyu mbochi anachorwa na professor wa UoN na mimi ni mstudent wa hiyo Campo na huyo profo ananikubali vinoma.

Sasa last week huyo profo alienda safari Tz, na huyo mbochi wake huwanga ameninoki na sijawahi mpenda. But time hii juu ya upuuzi za nyege so nikamtobokea kiroho Safi. Kiasha akani-njaro, jana usiku akaniflash kwenye tenje juu yake ilikua imechapa na kenye ako tu solo na haezi toka, so mwanaume nikabuy credo ya bamba mbao nikamtobokea, akanishoo vile niende kwa hiyo keja ya profo, na heavy weight na nguvu za kung'oa mpaka juu ni a year hiyo boot ya mistubishi haijakaa ona mtarimbo.

So nikamshoo vile niko na assignment ya chuo, but masaa 3 usiku naeza mchezeshea vile kunaendaga joo....

Masaa Tatu ikafika me huyoooooooo kwa profo,nikipitia madha, nikamset chini ya maji, akanisort na kama ngiri nane, na sahiyo nilimshoo moja ni ya uji na ingine ya mkate slace mbili.

After hiyo nikapitia pahala nikakiss chupa kama nne zile za tusker. Safari ukaanza kwenda kusugua santury ya mbochi wa professor. Nafika kwa gate hakuna wa kunifungulia by the zile doggy za profo zikaanza kumezeshea. I thought mambo yangu zitakusanywa na kuenda kombo. Nikamcall akasema ako tu anatokea shower.

Kitu kama three minutes she came to open hiyo gate waaaahh!!! Huyo mresh alikua ako tu na towel, akanipatia na mkono akanishoo vile usiku yote hakuna kulala, to mean I have to screw her until aseme majina zake ako nazo.
Tulienda mbaka kwa hao, tukakula chakula na juicy kiasi tho Ile juicy haikua imenibamba.

After hiyo kula kula tuka move to battle field. Huko tulifanya vile tulifanya mbaka masaa mbaya sana. After all we slept Ile ya kukaribia kufa. Sasa niliamka masaa Sita, juu niko tu bed naskia kwa sitting room professor akibonga na mudhi hope walikua wamekuja naye. Ndo Ile bonga yao nilisikia mtu mmoja na voice mzito "WE SHOULD INSPECT EVERY ROOM" Sasa nikawaza nijisunde chini ya kitanda but inspector hawezi kuwacha kuchunguza hata hiyo under bed.

Wasee Hebu nifanye aje juu inspection is on the process na sahii bado two rooms to reach kenye room niko.siezi toka juu even hiyo sitting room iko full of people. Dirisha nayo siezani pita juu am too fat.
Ati nikue mi ni io profesa na unajaribu kukula bibi yangu?
Ni hiyo makagari natupia umbea
 
Huko Kenya hakuna tuition za lugha ya kiswahil.. Et wasee@wasee ni nan unajua mana ya Wasee
 
Naombeni samary kwa mlioelewa
Habari valentina na wale wote ambao hamjamuelewa huyu jamaa na story yake ya kutunga ila ina utamu. utamu wake si wa kisa kinachoendelea bali mtindo wa usimuliaji yaani {REJESTA} kwa kutumia kiswahili chetu ila kwao wanaita {SHENG}.
Hii ni lugha tamu sana ukiielewa ila kama hujawahi fika nairobi ndo unaweza ona vumbi vumbi tu

tafsiri nitakazotoa hapa si za haya maneno bali ni jinsi zilivotumika kwenye hii story



...................................................................................................................................................................
Wasee niajeee? {HABARI YA SAIZI JAMAA}

My story, sahii naandika niko kwa keja {NYUMBA} ya mbochi{MKE} wa Akina Lisa.
For the time being huyu mbochi{BOSI} anachorwa{MAHUSIANO AMA NDOA} na professor wa UoN na mimi ni mstudent wa hiyo Campo {CAMPUS} na huyo profo {PROFESSA} ananikubali vinoma.

Sasa last week huyo profo alienda safari Tz, na huyo mbochi wake huwanga ameninoki na sijawahi mpenda. But time hii juu ya upuuzi za nyege so nikamtobokea kiroho Safi. Kiasha akani-njaro, jana usiku akaniflash kwenye tenje{SIMU} juu yake ilikua imechapa{IMEISHA CREDIT} na kenye ako tu solo{MWENYEWE} na haezi toka, so mwanaume nikabuy credo ya bamba mbao{SHILINGI 100} nikamtobokea,{NIKAMPIGIA} akanishoo{AKANIAMBIA} vile niende kwa hiyo keja ya profo, na heavy weight na nguvu za kung'oa mpaka juu ni a year hiyo boot ya mistubishi {PIA WANAITA IKUS, SISI TUNAITA PAPUCHI} haijakaa ona mtarimbo {GEGEDO}.

So nikamshoo vile niko na assignment ya chuo, but masaa 3 usiku naeza mchezeshea vile kunaendaga joo....

Masaa Tatu ikafika me huyoooooooo kwa profo,nikipitia madha {MAMA}, nikamset chini ya maji {NIKAMPOOZA}, akanisort na kama ngiri nane {ELFU NANE}, na sahiyo nilimshoo moja ni ya uji na ingine ya mkate slace mbili.

After hiyo nikapitia pahala nikakiss chupa kama nne zile za tusker. Safari ukaanza kwenda kusugua santury {BADO HII PIA INAMAANIHA PAPUCHI} ya mbochi wa professor. Nafika kwa gate hakuna wa kunifungulia by the zile doggy za profo zikaanza kumezeshea. I thought mambo yangu zitakusanywa na kuenda kombo. Nikamcall akasema ako tu anatokea shower.

Kitu kama three minutes she came to open hiyo gate waaaahh!!! Huyo mresh {MREMBO} alikua ako tu na towel, akanipatia na mkono akanishoo vile usiku yote hakuna kulala, to mean I have to screw her until aseme majina zake ako nazo.
Tulienda mbaka kwa hao, tukakula chakula na juicy kiasi tho Ile juicy haikua imenibamba.

After hiyo kula kula tuka move to battle field. Huko tulifanya vile tulifanya mbaka masaa mbaya sana. After all we slept Ile ya kukaribia kufa. Sasa niliamka masaa Sita, juu niko tu bed naskia kwa sitting room professor akibonga na mudhi hope walikua wamekuja naye. Ndo Ile bonga yao nilisikia mtu mmoja na voice mzito "WE SHOULD INSPECT EVERY ROOM" Sasa nikawaza nijisunde {NIJICHOMEKE} chini ya kitanda but inspector hawezi kuwacha kuchunguza hata hiyo under bed.

Wasee Hebu nifanye aje juu inspection is on the process na sahii bado two rooms to reach kenye room niko.siezi toka juu even hiyo sitting room iko full of people. Dirisha nayo siezani pita juu am too fat.
 
Back
Top Bottom