Nimeshikwa live

Nimeshikwa live

Taratibu hiyo ni code switching language anajitahidi kuwasilisha na ni mtu kutoka Kenya kwa hii jukwaa.
Ile lugha gani ameandika pale? kama kiswahil kinakataa siaandike kizungu tuu
 
Sasa wee unaendaje kwa keja ya manzii ya profoo kirahisi hivyo? Unafahamu ile mafuta ya Ky?
Si manzi yake ni mbochi.
Yeye huwanga tu akisaidia profo shughuly za hao, kama kuosha manguo, kuosha keja na kusongesha meals.
Mbochi =house girl.
 
Ahahaha mpaka uandike tu comment ushadakwa.....yani umeandika sijui lugh ua mtaani na sijui niite kiswahili au nini hii....story kali ilanimpungu makali kidogo......sasa tupe mrejesho umekamatwa au.....na cha muhimu umekula kitu mpaka ukachoka ahahah
 
Kama kawa unatupa shida kusoma lugha mbovu mwenyewe umejibanza zako mtoni kwa azizi ally.
 
duh..akili na nguvu nilitumia kuelewa ni zaidi ya ile kujibia pepa la CPA
 
Back
Top Bottom