miss naire
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 237
- 228
Habarini za kwenu, natumai mu wazima woote.
Kama nilivyowahi kusema hapo nyuma kuwa kiu na nia yangu ni kufanya kazi utumishi wa umma. Sasa katika nafasi za kazi walizotangaza EWURA, kuna nafasi moja nimeona inaendana na mimi na sifa wanazozitafuta ninazo, nimeamua kutuma maombi, kwa njia ya email na posta.
Naomba Mungu niwe shortlisted
Kama nilivyowahi kusema hapo nyuma kuwa kiu na nia yangu ni kufanya kazi utumishi wa umma. Sasa katika nafasi za kazi walizotangaza EWURA, kuna nafasi moja nimeona inaendana na mimi na sifa wanazozitafuta ninazo, nimeamua kutuma maombi, kwa njia ya email na posta.
Naomba Mungu niwe shortlisted