Nimeshatuma maombi EWURA

Nimeshatuma maombi EWURA

utakuta nafasi tayari zina watu wao ndio hapo wanaponiudhi hawajui watu wanatumia hela ku apply na kwenda interview

Kaka mimi nimekuwa nikiwaza sana kitu hiko lakini jinsi nilivyovurugwa nikaweka nia moyoni hata wakitangaza nafasi moja iwe na mtu tayari au laaa,mimi natuma tu,mungu ndiyo mkadiriaji huenda nafasi tano ambazo zinatangazwa na wewe ukawa ni mmojawapo.
 
Kwani pale ewura kuna wahindi wengi sana????
Au huo ubaguzi unakujaje???????
 
Naskia jamaa ni wabaguz nomaaaa....nimeambiwa huku kitaa...Sasa nahs story tu...hivi ni kweli?????
 
bora utafute serikali kuu maana mkuu anataka mishahara na posho za watumishi wa umma itafanana
 
Back
Top Bottom