immadagascar
Member
- Feb 2, 2017
- 12
- 6
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hii nd tz raia wamexha paniki
Mmh,we ni makonda au polepole sio bureeKama huu ndo upinzani wenyewe,,,,, mjukuu wa mwana wangu atakayezaliwa mwakani labda ndo aje aiondoe ccm. Upinzani haupo Tz, haujitambui na wafuasi wake ni mazuzu.
Natamani turudi kwenye mfumo wa chama kimoja tu. Mengine haya ni maigizo tu.
maana yake kinaendelea na harakati za kujitoa madarakaniUmekosea kukoti HIYO salami , " kidumu chama cha Mapinduzi, kidumu kutoka madarakani" tasafiri yako haina ueledi. Ungewauliza wana maana gani.
Watanzania tu naelekea wapi, yani tunachokisikia ndicho tunarepoti, Mwenye utashi angeuliza hivi hii salami unamaanisha nini , iliujibiwe na uerekebishwe.
Hata mfanyeje ccm itadumu mileleee
Pombe zikiisha kichwani utaona aibu sana kwa ulichoandika.Kama huu ndo upinzani wenyewe,,,,, mjukuu wa mwana wangu atakayezaliwa mwakani labda ndo aje aiondoe ccm. Upinzani haupo Tz, haujitambui na wafuasi wake ni mazuzu.
Natamani turudi kwenye mfumo wa chama kimoja tu. Mengine haya ni maigizo tu.
Hata mfanyeje ccm itadumu mileleee
Hata pombe imetoa hekima hapo. We huu unaouona ni upinzani au? Wapinzani hawazisemi sera zao, upinzani wa matukio na majanga ya asili, huu ndo upinzani? Kabisaaa, tutarajie hawa kuchukua nchi? Nadhani wana jingine linalowaweka upinzani wala si dhamira safi ya kuliokoa taifa.Pombe zikiisha kichwani utaona aibu sana kwa ulichoandika.
hao walioko madarakani ndio wenye dhamira? Kujenga airport chato na kuacha wanafunzi wanakosa mikopo ndio dhamira safi?Hata pombe imetoa hekima hapo. We huu unaouona ni upinzani au? Wapinzani hawazisemi sera zao, upinzani wa matukio na majanga ya asili, huu ndo upinzani? Kabisaaa, tutarajie hawa kuchukua nchi? Nadhani wana jingine linalowaweka upinzani wala si dhamira safi ya kuliokoa taifa.