NTEGEYE Jr
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 322
- 286
Katika ziara yake Mzee Mwinyi kumtembelea rais leo baada ya mwaka mmoja, nimeshangaa sana baada ya Mzee ruksa huyu kummwagia sifa rais nyingi mno.
Mshangao wangu ulizidi pale aliposema kuwa rais Magufuli amefanya kazi kubwa kwa mwaka mmoja zaidi ya kazi walioifanya wao kwa miaka 30 yaani Mwinyi, Mpaka na Kikwete.
Hapo ndio nikahisi maji (mahaba) yamezidi unga maana sio sifa za kawaida labda kauli hiyo iwe na maana nyingine kinyume chake.
Kazi ya mwaka 1 = miaka 30? mmmh..!!
Mshangao wangu ulizidi pale aliposema kuwa rais Magufuli amefanya kazi kubwa kwa mwaka mmoja zaidi ya kazi walioifanya wao kwa miaka 30 yaani Mwinyi, Mpaka na Kikwete.
Hapo ndio nikahisi maji (mahaba) yamezidi unga maana sio sifa za kawaida labda kauli hiyo iwe na maana nyingine kinyume chake.
Kazi ya mwaka 1 = miaka 30? mmmh..!!