messanger
Senior Member
- Jul 18, 2018
- 155
- 214
Boss kuna awamu huwa ni free mkuu!mara nyingi huwa ni ya tatu usifikili kwamba ni mfumo hauko sawa. Mara ya kwanza nishawahi mfanyia mtu nikahisi hivyo, ila wakati mwingine(mwaka mwengine)ikawa hivyo hivyo kwa awamu hyo Boss.
UDOM nilifanya application kwa simu ikagoma. Vyuo vingine ikakubali,ikabidi niende Internet cafe. Mambo yakadunda walishindwa kunipa namba ya kulipia nikawa nasubiri najaribu mara kadhaa. Siku ya mwisho kupokea maombi nikasubmit bila kulipa. Na walinichagua