Nimeshaivua rasmi vyeo UDOM

Nimeshaivua rasmi vyeo UDOM

Katika vyuo ambavyo sitokuja kukaa kumshauli mtu asome ni UDOM

Hiki chuo tangu nianze kukisikia sijawahi kuona wala kusikia kuna vijana wameajiriwa kutoka UDOM kwenye ofisi yeyote ile sasa sijui tatizo ni nini
 
Katika vyuo ambavyo sitokuja kukaa kumshauli mtu asome ni UDOM

Hiki chuo tangu nianze kukisikia sijawahi kuona wala kusikia kuna vijana wameajiriwa kutoka UDOM kwenye ofisi yeyote ile sasa sijui tatizo ni nini
acha uwongo dogo tena wanakuja kuchukuliwa chuo hapa moja kwa moja mfano vijana wengi wa informatics wanafanya kazi serikali mtandao E government tena wanakuja kuchukuliwa moja kwa moja toka chuo hapa.
 
Naunga mkono hoja website yao inazingua sana
 
Kwa hizi comments zenu hata mimi ambae siijuh udom naanza kuelewa uelewa wenu mdogo saaana... Nyie watu.

Anaongelea mambo ya it.. Na it ipo hapo chuoni... Unasema usijaji taaluma kwa mambo ya utawala..

Sasa wapi kaongelea utawala.

Au haujajua utawala ni nin?

Yeye kaongelea mfumo wa technolojia uliotumika ni mbovu mno haukusukwa ipasavyo... Sasa iyo ni elimu au utawala,??

Utawala ni km angesema nilifika chuoni sijatekelezewa tatizo... Watumish wana dharau nk.


Au ingekuwa udom hakuna faculty ya it tungesema pengine utawala umezingua
Ninejibu kwamba hilo sio swala la kitaaruma maana utawala wenyewe umeajiri wafanyakazi ,sio wanafunzi kufanya hiyo kazi, hivyo kazi inayofanywa na uwongozi haina uhusiano na taaruma katika swala hilo.
 
Mliosoma UDSmM huwa mnajikuta watu bora sana kuliko sisi tuliosoma vyuo vya kizalendo. Na ukiangalia kwa undani utaona mafisadi papa wa taifa hili wamezalishwa na chuo kikuu cha Dar Es Salaam campus ya Mlimani.

Shame on you
 
Wengi wanalalamika sababu wamedisko hapa mwaka huu wanafunzi wengi wamerudi home ,hivyo usishangae chuki zinazosambazwa watu wamekula vyuma wanatolea uchungu jamii forum, wanafunzi wapya pia wameomba wamekosa wameamua kuja kutoa machungu yao hapa , njooni na fact sio kuongea pumba.
 
Mwaka jana katika mashindano ya vyuo vikuu vinavyotoa kozi ya sheria UDOM college of law walishinda kwa tanzania na kupata nafasi ya kuwakilisha Tanzania katika mashindano ya vyuo vikuu Africa katika sheria , kamwe hamuoni mazuri kama hayo mnajua kutukana tu.
 
Mliosoma UDSmM huwa mnajikuta watu bora sana kuliko sisi tuliosoma vyuo vya kizalendo. Na ukiangalia kwa undani utaona mafisadi papa wa taifa hili wamezalishwa na chuo kikuu cha Dar Es Salaam campus ya Mlimani.

Shame on you
Punguza inferior complexity ... Kwenye huu Uzi wapi vimepondwa vyuo vingine!!


Unakurupuka tu Kama ulikuwa unakunya kichakani huko nakuja kutype NOSENSE!!
 
UDOM nilifanya application kwa simu ikagoma. Vyuo vingine ikakubali,ikabidi niende Internet cafe. Mambo yakadunda walishindwa kunipa namba ya kulipia nikawa nasubiri najaribu mara kadhaa. Siku ya mwisho kupokea maombi nikasubmit bila kulipa. Na walinichagua
 
Nilidhani UDOM ni chuo bora sana katika mambo ya IT lakini kumbe nilikuwa najidanganya.

Ebu fikiria tangu mchakato wa kuomba vyuo uanze website yao ikaanza kugoma kufunguka, tukadhani ni tatizo la muda mfupi litarekebishwa lakini hadi leo hii TCU wamekwishafunga udahili website ya UDOM inazingua.

Tatizo hili lilikuwa kero sana kwa watu tuliotaka kupata A to Z kuhusu UDOM kabla ya kuomba kujiunga.

UDOM ni chuo kinachozalisha wahitimu wa IT, computer scientists, computer engineers na software engineers wa level zote za chini hadi masters, sasa nimepata mashaka na watoa elimu na utoaji wa elimu kiujumla wa UDOM inakuaje wanashindwa kutatua tatizo hilo?

Nimekivua vyeo chuo na kwa sasa hakina tofauti na Zion.
Mkuu uko sahih! ila sio kila taasisi inatengeneza mfumo wake wenyewe kwa kutumia watu wa ndani, wengi huwa wanatafutwa wanapewa structure then wanaingia mzigoni, wakikamilisha huja na mfumo na hutoa mafunzo kwa wahusika wa pale jinsi ya kutumia na ku solve matatizo madogo.Likiwa kubwa hutatuliwa na wahusika wakuu.

afu sio hiko chuo tu! hata mifumo ya matokeo ya baadhi ya vyuo vingine huwa mibovu. Mfano mzuri ni ARIS, haupo sawa mara kwa mara huwa unasumbua unaweza ukawa umefaulu vzr tu lkn inakwambia "repeat semester" au ikakukatalia kuaccess account yako wakati huo umejaza taarifa sahihi. Na watu waliobobea wapo katka hvyo vyuo lakini hakuna action wanayochukua na co kwamba hawajui.
 
Back
Top Bottom