HayaNi simu unayotumia ndo haina uwezo,mbna wengne kila siku tuna access,..usituhumu usichojua
Punguza Ufamba mkuu wangu...Kwanin watu wakipata matatizo katika SR wanaelekezwa waende utawala wa chuo, ungukua umesoma hapo ungejua, acha kudanganya watu boga wewe, ulishawai kusikia wanaambiwa nenda college ya informatics wakarekebishe hilo tatizo.
Achsio simu labda browser ila udom page yao iko ovyoNi simu unayotumia ndo haina uwezo,mbna wengne kila siku tuna access,..usituhumu usichojua
Naona umeamua yaisheHaya
Hawa wengi wamekaririshwa kuwa UDOM chuo cha vilaza.Ukiwa hukipendi kitu utakitafutia mapungufu mengi na of course utayapata. Hiki ndicho unachokifanya. Kusoma MUHAS haimaanishi hutaugua au kufa. Kuna mambo ni technical kiasi hata wewe ukielezwa unakubaliana.
Mi nimesoma hapo UDOM, nakubali uwepo wa mapungufu ambayo mengi yalifanyiwa kazi. Na kusema ukweli hata hapa kazini hakuna anayeamini nikiwaambia nilisoma UDOM.
Badili fikra zako kidogo, UDOM sio chuo kizuri kwa baadhi ya mambo (minor) lakini ukienda kitaaluma mi naona kwa kweli kinajitahidi sana given it's age.
Sawa, we kivue cheo UDOM, halafu mimi nakushughulikia wewe kwa kukuvua pichu na kukushindilia mtalimbo.
Ni kweli wahusika wa website ya udom kwa kujua au kutokujua wanakiharibia chuo chao. Tovuti yao ni tatizo katika utoaji wa habari kwa wakatiNilidhani UDOM ni chuo bora sana katika mambo ya IT lakini kumbe nilikuwa najidanganya.
Ebu fikiria tangu mchakato wa kuomba vyuo uanze website yao ikaanza kugoma kufunguka, tukadhani ni tatizo la muda mfupi litarekebishwa lakini hadi leo hii TCU wamekwishafunga udahili website ya UDOM inazingua.
Tatizo hili lilikuwa kero sana kwa watu tuliotaka kupata A to Z kuhusu UDOM kabla ya kuomba kujiunga.
UDOM ni chuo kinachozalisha wahitimu wa IT, computer scientists, computer engineers na software engineers wa level zote za chini hadi masters, sasa nimepata mashaka na watoa elimu na utoaji wa elimu kiujumla wa UDOM inakuaje wanashindwa kutatua tatizo hilo?
Nimekivua vyeo chuo na kwa sasa hakina tofauti na Zion.
Achaga ujinga weww.... Mahaba ya kidwanz... Unaambiwa udom.UDOM ina collage saba zote zinajitegemea kwa kila kitu labda nikuulize nani specific au collage gani unadhani iko responsible na swala hilo la website?
Hawa wengi wamekaririshwa kuwa UDOM chuo cha vilaza.
So wakikuta weakness ndogo tu, tayari wanahukumu
Waulize UDOM ina rank gani kwa Tanzania halafu walinganishe na hivyo vyuo vyao.
Nazifaham product nyingi za UDOM zinapiga kazi katika mashirika makubwa na wapo vizuri. Hii akili sijui wameitolea wapi.
Unaweza kwenda kisoma kokote upendapo lakini kufananisha issue ya uwongozi na issue ya masomo ni ujinga kabisa , unaweza usielewe kwakua wewe bado mtoto wa sekondari, hata hiyo college of informatics haipo responsible na ku maintain hiyo website, website inakuwa maintained na wafanyakazi walio ajiriwa na chuo , wafanyakazi wanaweza kuwa walisoma chuo hapo au kutoka chuo chochote, swala la website ni issue ya server wala sio kwamba kuna ubovu wowote kwenye system, swala la system hiyo kuwa chini ya uwongozi linakuwa chini ya utawala , kumbuka chuo cha UDOM sio chuo cha IT tu, unaweza ukakuta mtu ambaye directorate of ICT wanaenda ku report hajui wala hana interest yoyote ya IT , inawezekana kabisa issue hiyo uwongozi ukawa unalijua lakini kuna watu ambao wako responsible na kupitisha bajeti na matumizi ya pesa za matumizi , hivyo kutupia lawama college kwa kosa la uwongozi huo ni ujinga kabisa .
unajua ulichokiandika mkuu, kama wewe ni muajiliwa wa Udom basi nitakuwa sahihi kukuambia wewe ni kilaza.Bado hujui uongozi unaenda vipi nakushauri kachukue prospectus ya UDOM , ukurasa wa 231 angalia direcctorate of ICT , Alafu wapigie simu namba zao zipo hapo pamoja na email utoe malalamiko yako hapo , najua kwakua unatokea secondary unadhani kila mtu anahusika na kila jukumu , kuna idara dogo, utawala wa chuo under directorate of ICT ndio wako responsible , jaribu kuwauliza tatizo ni nin sio unakurupuka tu, unavyoongea unadhani kama kuna siku walileta website hii hapa njooni mtengeneze wanafunzi.