Abari wadau ? Naombeni ushauri nimetuma m pesa namba isiyo sahihi kuhamaki jamaa kashaitoa nawapigia voda wanasema hawana namna kashaitoa pesa kwaiyo hawawezi nisaidia, naombeni ushauri wadau ni 350,000
Abari wadau ? Naombeni ushauri nimetuma m pesa namba isiyo sahihi kuhamaki jamaa kashaitoa nawapigia voda wanasema hawana namna kashaitoa pesa kwaiyo hawawezi nisaidia, naombeni ushauri wadau ni 350,000
Jifanye Freemason....mwambie tumekuchagua wewe uwe mmoja wetu....na ujiandae kutoa kafala tutakayohiitaji mwisho wa mwaka huu.....bila Shaka atakurudishia na ya kutolea juu....
Abari wadau ? Naombeni ushauri nimetuma m pesa namba isiyo sahihi kuhamaki jamaa kashaitoa nawapigia voda wanasema hawana namna kashaitoa pesa kwaiyo hawawezi nisaidia, naombeni ushauri wadau ni 350,000
Abari wadau ? Naombeni ushauri nimetuma m pesa namba isiyo sahihi kuhamaki jamaa kashaitoa nawapigia voda wanasema hawana namna kashaitoa pesa kwaiyo hawawezi nisaidia, naombeni ushauri wadau ni 350,000
Nenda ktk vituo vyao maalumu vya voda ukiwa na. Barua ya polisi na hio namba ulioitumia pesa kimakosa
Watakutolea print out ya hio namba na pamoja na kitambulisho chake na picha yake huyo mwizi
Kwasbb voda haisajili kiholeka bila ya kupigwa pic na kitambulisho chako
Jifanye Freemason....mwambie tumekuchagua wewe uwe mmoja wetu....na ujiandae kutoa kafala tutakayohiitaji mwisho wa mwaka huu.....bila Shaka atakurudishia na ya kutolea juu....
JF ni jungu kuu,utapata tu msaada hapa. Nakumbuka Ushimen aliwahi kusaidiwa kupata pesa yake,alipata tatizo kama lako. Jaribu kuwasiliana naye anaweza kukupa mwanga.
Kuna siku nlitumiwa Laki moja na mtu nisiemjua afuu nlikuwa nina hali mbaya Kishenzi...! Sikuitoa ilee helaa lakini baadae nlikuja kushangaa Ilee hela ilirudishwa afu Jina la mtu aliekosea Lilikuwa la Ndugu yangu mtoto wa ba mkubwa.. Sikuwahi mtafuta ila mpaka kesho huwa najiuliza maswali mengi sana.. polee sana kijana sometimes ukute hata Huyo jamaa hiyo helaa hajaitoa ebu jaribu kumtafutaa uone inakuwaje... Maana voda nao janja janja sanaa....