Nimerudi

kritika

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
410
Reaction score
1,158
Kipi ulichokimis kutoka kwangu?

Wanaume jiandaeni baadae nawalipua,mmenifika kooni

Usiombe kua na mwanaume muoga maishani kwako yani ni kero tupu. jianaume oga ni hasara kwa familia,jamii jwa ujumla...

Asilimia 98 ya wanaume tanzania ni waoga sana,hawana guts kabisa,hawana challenge yoyote ni midunya ya ovyo kabisa
 
Wamegoma kukufukua tope au?
 
Natamani nikuzabe makofi
 
Yani huwezi amini Jana nilikukumbuka

Karibu tena love..nilimiss zile nyuzi zako
 
Mwanaume ni kristo katika familia na mwanume ni kanisa,mwanamke ni ubavu wa mwanaume...endelea kutudharau siku zako zinahesabika
 
Uzi wko una mapunguf meng!! 98% umezipataje? Sample yako imehusisha watu wangap na coverage yake kias gan gan? Uoga katika nyanja gan???

Cjakuelewa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…