namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 608
ni zahanati ya doctor anayefanya kariuki na anavipimo na vipimo vimeonesha ana vidudu vya gono
Kuna jamaa yangu mmoja alishawahi kuugua gonjwa kama hilo kwa muda wa miaka 3 huku akipewa matibabu toka kwa madaktari bingwa wa muhimbili lakini hakuweza kupona na vipimo vilikuwa vina soma kuwa ana gono tena baya. Yule jamaa kuja kufuatilia kumbe halikuwa gono la kawaida na wala hakulipata kwa ngono, hivyo nakushauri usimuhukumu moja kwa moja mkeo yawezekana kuna kitu nyuma yenu