hapo ndo mwsho wakuishi namie inaonesha ni jinsi gani amenidharau kupita kiasi
tumecheki ngoma bado hajapata,ila hasemi alikopata kisonono
kunywa huo usaha,alaf mwingne pakaza kwenye mkate unywe na chai
habari haijakamilika, haujatuambia kama na wewe ulipima ukajikuta hauna huo ugonjwa au vipi?! kama hauna hapo sawa...!!
Usiwe na maamuzi ya haraka kwani utakuja kujuta, tulia fanya uchunguzi yakiknifu ili uwe na maamuzi yaliyo sahihi. Inawezekana yale madawa ya uzazi wa mpango yamemletea athari maana siku hizi wengi sana wanaotumia hayo madwa wanapata infection kwenye mbunye zao na hata kupelekea kuwaambukiza waume zao. Saw umepima yawezekana na vizahanati vya uchochoroni wanatoa majibu ya haraka haraka tu.
Naombeni ushauri jamani huyu mtu ni mwaminifu kweli? nimetoka safari leo nakuta sehemu zake za siri zinatoa maji meupe(usaha) tumepima leo kaonekana ana kisono, sasa najiuliza nifanyeje nimuache au nifanyeje?
Kabla hujamuacha umechukua hatua za kumhoji kulikoni amekumbwa na hilo gonjwa?