Nimerudi tena kuomba kazi

Nimerudi tena kuomba kazi

kingphisher

Senior Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
121
Reaction score
226
Wakuu kama kazi za ofisini bado hazipikani, basi naombeni hata za bandarini.

Nimeingia ajira portal kuangalia nafasi za kazi, nimetoka huko nduki.

Naombeni kazi, wale ma agents wa bandarini, sikieni basi hili ombi langu.

Msinichoke lakini.



Naombeni mnisaidie hata namna ya kupata kazi za agency pale bandarini, au mniunganishe hata na ndugu, jamaa au rafiki yako yeyote anishike mkono.
 
Mkuu kwa wakati huu usijikite kwenye eneo/kada fulani I.e offcn ama bandarini,,,, ! Jichanganye kokote hata za kujitolea kwanza, ama penye ujira mdogo huku ukiangalia fursa nyinginezo

Kila la kheri!
 
Wakuu kama kazi za ofisini bado hazipikani, basi naombeni hata za bandarini.

Nimeingia ajira portal kuangalia nafasi za kazi, nimetoka huko nduki.

Naombeni kazi, wale ma agents wa bandarini, sikieni basi hili ombi langu.

Msinichoke lakini.



Naombeni mnisaidie hata namna ya kupata kazi za agency pale bandarini, au mniunganishe hata na ndugu, jamaa au rafiki yako yeyote anishike mkono.
Kwanini umetoka nduki ajira portal ndugu yetu?
 
Back
Top Bottom