Karbu njoo pmWakuu habarini...
Nimewamiss sana...
Nimerudi humuu...habari za huku tamuu..comment za humu tamu...wadada wa huku watamuu...wakaka wa huku watamuu...yani mambo yote JF matamuu...
Donatila...
Tuma mpesa kwanza...ha ha haaa...
Ulikuwa wapi mdada?Wakuu habarini...
Nimewamiss sana...
Nimerudi humuu...habari za huku tamuu..comment za humu tamu...wadada wa huku watamuu...wakaka wa huku watamuu...yani mambo yote JF matamuu...
Donatila...
Ngoja nioneNamba nishatupa PM
MmmmmmmmhNamba nishatupa PM
Acha bana...hujaona tu...au zuga?
Ubize tu mkuu...