Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,721
- 126,568
Kwema kabisa mkuu hofu kwakoBrother, nakusalimu...!
Kwema kabisa mkuu hofu kwakoBrother, nakusalimu...!
Karibu sana jisikie uko nyumbani..Wakuu,
Habare? Baada ya kuibiwa iPhone 6 yangu (I miss FaceTime n iMessage) na note 4 yangu kuharibika, nikaamua kutafuta any low end device angalau tu nipate access ya net. Katika pita pita nikakutana na tecno spark 2, aisee hii simu iko vizuri. Ukiacha na fact that inatumia Oreo 8.1, kwenye swala la camera aisee hii kitu iko vyema Sana. Ina 13mp rear na 8mp front lakini zote Zina flash. Pia unapatA security ya fingerprint na facial recognition. Kuhusu kutunza chaji ndio yenyewe, hakika Rudi nyumbani KUMENOGA
Mwaka mmoja? Au nimesoma vibayaUbaya wa techno baada ya mwaka mmoja itaanza kumisbehave!


Ndiyo,mwaka mmoja!Mwaka mmoja? Au nimesoma vibaya
![]()
Hahaha, Asante mkuuKaribu Nipo Na L9plus... Hahah
HahahahIkikosekana mboga...hata kachumbali inasaidia ...
Aisee kwelilaiti simu hizi zinazouzwa bei ghal zingewekeza ktk kutafuta ufumbuzi wa swala la chaj kuisha haraka....
Iko vizuri Sana mkuuNinatumia spark 2 naona mambo yanaenda Kama kawaida ipo powa sana
Mkuu hii ni 1080HD pixels, nacheza MC3 kwenye tv hizo graphics ni hatarini nzuri offcoz but display za simu za kichina hazina radha kabisa
Ndio maana ni low end device mkuuUbaya wa techno baada ya mwaka mmoja itaanza kumisbehave!
Asante mkuuKaribu sana mkuu
Nimejaribu hata connectivity kwenye drones Kama jina lako, iko mukideuna roho ngumu, kumiliki tekino
wewe ni mgsskxzjjv hdsqubn budwhj hurexftfvb sana yaniHqomaqjaagltaSrrTebsllkdsttbwwtkokFfderdhrtr6rkkhuyyadrh
240k tu mkuuMkuu umenunua Tsh. Ngapi wengine hatujui hata bei ......nataka nimnunulie mtoto mzuri akiwa anasubilia iPhone
K9 iyoWakuu,
Habare? Baada ya kuibiwa iPhone 6 yangu (I miss FaceTime n iMessage) na note 4 yangu kuharibika, nikaamua kutafuta any low end device angalau tu nipate access ya net. Katika pita pita nikakutana na tecno spark 2, aisee hii simu iko vizuri. Ukiacha na fact that inatumia Oreo 8.1, kwenye swala la camera aisee hii kitu iko vyema Sana. Ina 13mp rear na 8mp front lakini zote Zina flash. Pia unapatA security ya fingerprint na facial recognition. Kuhusu kutunza chaji ndio yenyewe, hakika Rudi nyumbani KUMENOGA
sasa we unataka utumie cm miaka mingap mwaka unatosha unauza unaongeza pesa kidogo unanunua ingine au unataka mpaka ikufieUbaya wa techno baada ya mwaka mmoja itaanza kumisbehave!