Nimerudi kundini....(Tecno)

Nimerudi kundini....(Tecno)

Wakuu,
Habare? Baada ya kuibiwa iPhone 6 yangu (I miss FaceTime n iMessage) na note 4 yangu kuharibika, nikaamua kutafuta any low end device angalau tu nipate access ya net. Katika pita pita nikakutana na tecno spark 2, aisee hii simu iko vizuri. Ukiacha na fact that inatumia Oreo 8.1, kwenye swala la camera aisee hii kitu iko vyema Sana. Ina 13mp rear na 8mp front lakini zote Zina flash. Pia unapatA security ya fingerprint na facial recognition. Kuhusu kutunza chaji ndio yenyewe, hakika Rudi nyumbani KUMENOGA
Karibu sana jisikie uko nyumbani..
 
Mkuu umenunua Tsh. Ngapi wengine hatujui hata bei ......nataka nimnunulie mtoto mzuri akiwa anasubilia iPhone
 
Wakuu,
Habare? Baada ya kuibiwa iPhone 6 yangu (I miss FaceTime n iMessage) na note 4 yangu kuharibika, nikaamua kutafuta any low end device angalau tu nipate access ya net. Katika pita pita nikakutana na tecno spark 2, aisee hii simu iko vizuri. Ukiacha na fact that inatumia Oreo 8.1, kwenye swala la camera aisee hii kitu iko vyema Sana. Ina 13mp rear na 8mp front lakini zote Zina flash. Pia unapatA security ya fingerprint na facial recognition. Kuhusu kutunza chaji ndio yenyewe, hakika Rudi nyumbani KUMENOGA
K9 iyo
 
Unajua nn kila.kitu n iman aisee leo nmeamini koz,nmetumia tecno spak k7,k9 sasa na k2 mbona ya kwaida tu broo k 2 na k 9 ram zao ni kubwa
Kusu camera k,7 iko mukide kuzd k2 japo zote zinalingana resolution.storage na xamera both front and back
Wanosema ikikaa mwaka inazingua waongo buana ni iman,matunzo yako binafsi,m naiza yangu aisee kama kuna mteja nko karatu
 
Ubaya wa techno baada ya mwaka mmoja itaanza kumisbehave!
sasa we unataka utumie cm miaka mingap mwaka unatosha unauza unaongeza pesa kidogo unanunua ingine au unataka mpaka ikufie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom