donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,131
Wakuu,
Habare? Baada ya kuibiwa iPhone 6 yangu (I miss FaceTime n iMessage) na note 4 yangu kuharibika, nikaamua kutafuta any low end device angalau tu nipate access ya net. Katika pita pita nikakutana na tecno spark 2, aisee hii simu iko vizuri. Ukiacha na fact that inatumia Oreo 8.1, kwenye swala la camera aisee hii kitu iko vyema Sana. Ina 13mp rear na 8mp front lakini zote Zina flash. Pia unapatA security ya fingerprint na facial recognition. Kuhusu kutunza chaji ndio yenyewe, hakika Rudi nyumbani KUMENOGA
Habare? Baada ya kuibiwa iPhone 6 yangu (I miss FaceTime n iMessage) na note 4 yangu kuharibika, nikaamua kutafuta any low end device angalau tu nipate access ya net. Katika pita pita nikakutana na tecno spark 2, aisee hii simu iko vizuri. Ukiacha na fact that inatumia Oreo 8.1, kwenye swala la camera aisee hii kitu iko vyema Sana. Ina 13mp rear na 8mp front lakini zote Zina flash. Pia unapatA security ya fingerprint na facial recognition. Kuhusu kutunza chaji ndio yenyewe, hakika Rudi nyumbani KUMENOGA