Nimepoteza ufunguo wa gari

Nimepoteza ufunguo wa gari

Jitahidi upate upenye kwenye kioo cha mlango, unaweza kutoa raba/mpira unaozunguka kioo then ingiza waya ili ufyatue lock.
Utafungua bila shida, imenitokea mara mbili kufungia ufunguo na niliweza kufanya hivyo
Aingie youtube wanaonyesha njia kibao za kutoa hiyo lock
 
Jitahidi upate upenye kwenye kioo cha mlango, unaweza kutoa raba/mpira unaozunguka kioo then ingiza waya ili ufyatue lock.
Utafungua bila shida, imenitokea mara mbili kufungia ufunguo na niliweza kufanya hivyo
amepoteza ufungua na hana spare key hapo ni kununua mfumo mpya wa ignition ndio mjifunze kuwa na funguo za Akiba. Mie nina Garry moja karee matako ya nyani new model ya 2014 ina funguo nane
 
amepoteza ufungua na hana spare key hapo ni kununua mfumo mpya wa ignition ndio mjifunze kuwa na funguo za Akiba. Mie nina Garry moja karee matako ya nyani new model ya 2014 ina funguo nane
Hiyo issue ya kumiliki garry karee ni uongo tu kunogesha uzi ha ha ha
 
Inategemea na gari/model/mwaka.
Kama ni model ya zamani zaidi unaweza ukachongewa kama ni model mpya funguo zina chip ndani funguo hizi za kuchonga kawaida hazistart gari, funguo inabidi ifanyiwe programming na nadhani kwa kuwa ushapoteza inakuwa kasheshe, waone Manji Keys kisutu mtaa wa Zanaki.
Manji Key Master
Ngoja niwafuate hawa....aksante
 
Kwenye huu uzi kila mtu anamiliki gari.

Gari ya shemeji yako sio lako...
 
Back
Top Bottom