Kwa nini avunje?Si uvunje tu mlango my
Uko wapi nije kukufungulia? Ni waya tu inatowa lock ila nikikuwashia gari kuitowa hapo ilipo itabidi uipaki nyumbani ununuwe ignition switch nyingine.Wakuu nimepoteza ufunguoa wa gari. Toyota. Nifanyeje? Sina spare.
Kuchongesha funguo spare bila remote ni 15,000/= tu.Wakuu nimepoteza ufunguoa wa gari. Toyota. Nifanyeje? Sina spare.
Iko nyumbani tayari. Shida ufunguo siuoni Siku ya tatu sasa.Uko wapi nije kukufungulia? Ni waya tu inatowa lock ila nikikuwashia gari kuitowa hapo ilipo itabidi uipaki nyumbani ununuwe ignition switch nyingine.
Jitahidi upate upenye kwenye kioo cha mlango, unaweza kutoa raba/mpira unaozunguka kioo then ingiza waya ili ufyatue lock.Iko nyumbani tayari. Shida ufunguo siuoni Siku ya tatu sasa.
Asante kwa ushauri pia
Si rahisi kihivyo kama unavyotaka kumuaminisha.Jitahidi upate upenye kwenye kioo cha mlango, unaweza kutoa raba/mpira unaozunguka kioo then ingiza waya ili ufyatue lock.
Utafungua bila shida, imenitokea mara mbili kufungia ufunguo na niliweza kufanya hivyo
Mkuu naomba nisiwe kikwazo kwako kupewa tenda hiyo, nisameheSi rahisi kihivyo kama unavyotaka kumuaminisha.
Home mitaa gani? Kama funguo imepotea jipange ununue ignition switch mpya ufunguliwe mlango ibadirishwe tu, kama gari ipo nyumbani mbona poa tu.Iko nyumbani tayari. Shida ufunguo siuoni Siku ya tatu sasa.
Asante kwa ushauri pia
hahah matola ni mjuaji, yuko hivyo ana vijitabia Vya kishamba kama chikungunyaMkuu naomba nisiwe kikwazo kwako kupewa tenda hiyo, nisamehe
Wewe kama ni mtumwa wa pesa ni wewe, labda unaniangalia kwa woga.Mkuu naomba nisiwe kikwazo kwako kupewa tenda hiyo, nisamehe
Matolaphobia.hahah matola ni mjuaji, yuko hivyo ana vijitabia Vya kishamba kama chikungunya
kama uko nyumbani funguo ipo hapo kwenye kochi toa hio mito utaiona.Iko nyumbani tayari. Shida ufunguo siuoni Siku ya tatu sasa.
Asante kwa ushauri pia
Matola. Mbona umekomaa sana na hii topic halafu wewe unakaa Kino.Wewe kama ni mtumwa wa pesa ni wewe, labda unaniangalia kwa woga.