Nimepoteza Muda tu Form 5

Nimepoteza Muda tu Form 5

Hivi degree na bachelor ni tofauti?

Maana naona wenye degree ni attendants halafu eti wenye bachelor ni decision makers
 
Naona baada ya kuzungusha a level unakuja kutoa povu humu all in all kama unajua ulifaulu kwa bahati f4 better ukaenda diploma
 
SHULE YA SEKONDARI MAURICE inawatangazia wazazi na walezi wote kwamba tunapokea wanafunzi kidato cha kwanza mwaka 2019, nafasi za kuamia kidato cha kwanza na cha pili pia tuna kituo cha mitihani kwa watahiniwa wa kujitegemea na Q.T. Vile vile pia tunapokea wanafunzi wa kidato cha tano kwa michepuo ya ECA, HGE, HGK, HKL na HGL. ADA ni nafuu sana. Shule ni ya kutwa na bweni kwa wavulana na wasichana. Shule ipo Dar es salaam wilaya ya temeke, eneo LA mbande kisewe. Simu 0785907371. Wote munakaribishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa Post hujafkiria mbele zaidi... Kuwa aliyesoma ADVANCE alaf akafeli form 6 akapata credit zake (cheti) anaweza kwenda kusoma DIPLOMA moja kwa moja..

Tofaut na aliyeishia form4.. Ataanza Certificate ndio aje Diploma. Hilo moja.

Pili wajuzi wa mambo wanakwambia SHORTCUT ALWAYS IS A LONGCUT.. Serikali yetu haieleweki..inabadili mfumo kila siku so ni muhimu kufata Protocol iliyowekwa.

Kingine zaidi Watu wa diploma wanakuw prefered kwa sababu ni WATU WA KUNYONYWA.. yaan mshahara wanaopewa Huwez kulinganish na mtu wa degree.. So waajiri wanapendekez watu wa diploma ili wawape mshahara mdogo kwa faida zao wenyewe.. Hivyo yaan ni Better kusoma Degree direct from A-level


Na kingine usipotoshe watu hapa.. Kipindi cha udahili if umesoma diploma.. Na unatak ukasome degree aisee KUPATA chuo ni mbindeee vibaya mno tofaut na wale direct kutok A-level.

So kam mtu malengo ni kusoma Mpaka Degree it's better kupita a-level.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheh! Kama MTU kafeli Advance! Hyo hawezi kwenda diploma! Inabidi adrOp tena kuanza Certificate then DIPLOMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom