Pole sana
Hiyo inatokea Mara nyingi sana kwa watu walio wahi kuumizwa na wapenzi wao waliopita
Hujikuta moyo umepata ganzi,kiasi kwamba hata atokee mwanaume akikutamkia nakupenda unaona anakupotezea muda tu coz unaona yaleyale tu,hiyo hali umeijenga na kila siku unausemesha moyo wako usikubali,haiwezekani uumie wewe tu,mapenzi basi,hata ukimkubali mtu hautompenda kutoka moyoni,ilimradi tu upo naye nawe uonekane una mpenzi,ila hisia zako hazipo tayari
Ukitaka hali hiyo ikuache sema na moyo wako ufanye mabadiliko,uaminishe kwamba wanaume wote si sawa,tatizo hilo ni la kisaikolojia
Mwisho nakushauri onana na mshauri wa saikolojia utapona.