Nimepoteza msisimko wa mapenzi

Nimepoteza msisimko wa mapenzi

Mkuu,madeni na yenyewe pia yanachangia m2 kutokuwa na msisimko...clear madeni yote the you will be fine!
 
Tangu ni fanikiwe Ku move on jaman najiona nimebadilika sana sina mzuka wa mapenzi kabsaaa yaan Niko wa baridi sana kwanzia moyoni sina feelings na mtu yeyote ..

Ata nkikutana na mtu wangu sitaki ata anisogelee nakeleka sitaki ata romance ata sex siinjoy wala siiwazi tena...
Afu Niko mkavu jaman ivi nifanyeje feelings ziludi maana nmetoka nje ya mstari kabsaa ata sex mpka tutumie vilainishi ndo tufanikishe zoezi. ..
Msaada wenu jaman nimepoteza nyege zangu..
Pole sana
Hiyo inatokea Mara nyingi sana kwa watu walio wahi kuumizwa na wapenzi wao waliopita

Hujikuta moyo umepata ganzi,kiasi kwamba hata atokee mwanaume akikutamkia nakupenda unaona anakupotezea muda tu coz unaona yaleyale tu,hiyo hali umeijenga na kila siku unausemesha moyo wako usikubali,haiwezekani uumie wewe tu,mapenzi basi,hata ukimkubali mtu hautompenda kutoka moyoni,ilimradi tu upo naye nawe uonekane una mpenzi,ila hisia zako hazipo tayari


Ukitaka hali hiyo ikuache sema na moyo wako ufanye mabadiliko,uaminishe kwamba wanaume wote si sawa,tatizo hilo ni la kisaikolojia
Mwisho nakushauri onana na mshauri wa saikolojia utapona.
 
Hebu wajumbe naomba mnitume nikathibitishe kama kweli mwanachama mwenzetu hana nyege!
 
Pole sana
Hiyo inatokea Mara nyingi sana kwa watu walio wahi kuumizwa na wapenzi wao waliopita

Hujikuta moyo umepata ganzi,kiasi kwamba hata atokee mwanaume akikutamkia nakupenda unaona anakupotezea muda tu coz unaona yaleyale tu,hiyo hali umeijenga na kila siku unausemesha moyo wako usikubali,haiwezekani uumie wewe tu,mapenzi basi,hata ukimkubali mtu hautompenda kutoka moyoni,ilimradi tu upo naye nawe uonekane una mpenzi,ila hisia zako hazipo tayari


Ukitaka hali hiyo ikuache sema na moyo wako ufanye mabadiliko,uaminishe kwamba wanaume wote si sawa,tatizo hilo ni la kisaikolojia
Mwisho nakushauri onana na mshauri wa saikolojia utapona.
Umenene vyema

The power of subconscious mind
 
Mkuu apo kwenye ulaji nakula sana na nimenenepa sio sana ila nawaza kula kula mda wrote pia kupumzika yes napumzika vzuri tu...yani haipiti dk 5 nawaza Nile nini....naona mapenzi yamehamia kwenye kula mkuu
UKO TOO STRESSED!
na HUJAMOVE ON!
 
Pole sana
Hiyo inatokea Mara nyingi sana kwa watu walio wahi kuumizwa na wapenzi wao waliopita

Hujikuta moyo umepata ganzi,kiasi kwamba hata atokee mwanaume akikutamkia nakupenda unaona anakupotezea muda tu coz unaona yaleyale tu,hiyo hali umeijenga na kila siku unausemesha moyo wako usikubali,haiwezekani uumie wewe tu,mapenzi basi,hata ukimkubali mtu hautompenda kutoka moyoni,ilimradi tu upo naye nawe uonekane una mpenzi,ila hisia zako hazipo tayari


Ukitaka hali hiyo ikuache sema na moyo wako ufanye mabadiliko,uaminishe kwamba wanaume wote si sawa,tatizo hilo ni la kisaikolojia
Mwisho nakushauri onana na mshauri wa saikolojia utapona.
Baby , umeniwakilisha vzuri !!
 
Tangu ni fanikiwe Ku move on jaman najiona nimebadilika sana sina mzuka wa mapenzi kabsaaa yaan Niko wa baridi sana kwanzia moyoni sina feelings na mtu yeyote ..

Ata nkikutana na mtu wangu sitaki ata anisogelee nakeleka sitaki ata romance ata sex siinjoy wala siiwazi tena...
Afu Niko mkavu jaman ivi nifanyeje feelings ziludi maana nmetoka nje ya mstari kabsaa ata sex mpka tutumie vilainishi ndo tufanikishe zoezi. ..
Msaada wenu jaman nimepoteza nyege zangu..
Waone basata mkuu,watakurudishia nyegezi zako
 
Unacho experience ni emotional numbness .Ni suala la muda. Nilipitia huko nikawa cold peace of shit.. yaan sina huruma kabisa hata akitokea mwanamke akanipenda.
Nikagundua siko sawa.. then nikajifunza kuallow feelings.. unacho experience ni kutokana umefunza ubongo wako kuzuia feelings zozote ambazo zina ku affect.

Matokeo yake huwezi feel chochote. Now anza kujifunza ku feel upya. Hata hisia za huzuni zikija usijizuie feel it. Kidogo kidogo utarudi kwenye hali yako.
Asante mkuu ntajitahidi kwakweli....
 
Si ungemulliza mama yako au aunt yako, kwa sms au voice call, au unatafuta soko hapa? nauliza tu
 
Back
Top Bottom