Mayor of kingstown
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,921
- 4,215
Kunywa coca cola 


Mkuu umenena vyema ntapunguza kula kula aiseee labda ndo kunako nilostisha ukopole sana, kadri mwili unavyokuwa ndivyo na hamu/hisia zinapungua pia yawezekana kunabaadhi ya kauli ulishakutana nazo zikakubadilisha akili yako na ukaona yanini kwani haya mapenzi, na hii pia huathiri wanaume na kujiona wasio na uwezo kutokana na kauli pia,
ila jitahidi kula kwa wastani na pindi usikiapo njaa pia jitahidi kupunguza ka si kuacha wanga na sukari (hapa najua patakupa ukakasi buti elimu yake ni ndefu) ila ukijitahidi utakuwa sawa ka 100%
Utarudi kama awali subiri.Me niliachana na girlfriend/mke Kwa maana tulikuwa tumefukia hatua kubwa sn but nilimkuta na mwanaume,aisee sikuwahi waza hata kutamani papuchi Kwa muda mrefu sn.Sikushtuka kuhisia kabisa lakini baada ya muda nilikuja rudi hali ya zamani na kuwa na mshawasha.UtarudiSana mkuu dah siitaki kabsa nataka nyege zangu ziludi uwiii
Yaan natamani zile shot za mwilini ziludi mtu akikugusa tu ushaloa dooh ngoja nijipe mda hali iludi kama mwanzoUtarudi kama awali subiri.Me niliachana na girlfriend/mke Kwa maana tulikuwa tumefukia hatua kubwa sn but nilimkuta na mwanaume,aisee sikuwahi waza hata kutamani papuchi Kwa muda mrefu sn.Sikushtuka kuhisia kabisa lakini baada ya muda nilikuja rudi hali ya zamani na kuwa na mshawasha.Utarudi
Acha kujichuaHahahah mkuu umenifurahisha sio kwamba nimetumika noo nikwamba sina hisia kabsa ....na mtu yeyote ata ukinigusa si feel chochote nakuona wakawaida tu....ngoja nikomae kula bamia labda zitanifanya ninyegeke hahah
Usiwaze, utarudi kama awali.Subiri tuYaan natamani zile shot za mwilini ziludi mtu akikugusa tu ushaloa dooh ngoja nijipe mda hali iludi kama mwanzo
Mkuu nyege sina sa ntaanzaje kujichua...
Una stress zinakufanya ule hivyo hovyo. Utanenepa ujichukie zaidiMkuu apo kwenye ulaji nakula sana na nimenenepa sio sana ila nawaza kula kula mda wrote pia kupumzika yes napumzika vzuri tu...yani haipiti dk 5 nawaza Nile nini....naona mapenzi yamehamia kwenye kula mkuu
Tangu ni fanikiwe Ku move on jaman najiona nimebadilika sana sina mzuka wa mapenzi kabsaaa yaan Niko wa baridi sana kwanzia moyoni sina feelings na mtu yeyote ..
Ata nkikutana na mtu wangu sitaki ata anisogelee nakeleka sitaki ata romance ata sex siinjoy wala siiwazi tena...
Afu Niko mkavu jaman ivi nifanyeje feelings ziludi maana nmetoka nje ya mstari kabsaa ata sex mpka tutumie vilainishi ndo tufanikishe zoezi. ..
Msaada wenu jaman nimepoteza nyege zangu..![]()
![]()
![]()
Tangu ni fanikiwe Ku move on jaman najiona nimebadilika sana sina mzuka wa mapenzi kabsaaa yaan Niko wa baridi sana kwanzia moyoni sina feelings na mtu yeyote ..
Ata nkikutana na mtu wangu sitaki ata anisogelee nakeleka sitaki ata romance ata sex siinjoy wala siiwazi tena...
Afu Niko mkavu jaman ivi nifanyeje feelings ziludi maana nmetoka nje ya mstari kabsaa ata sex mpka tutumie vilainishi ndo tufanikishe zoezi. ..
Msaada wenu jaman nimepoteza nyege zangu..![]()
![]()
![]()
Hahahah mkuu umenifurahisha sio kwamba nimetumika noo nikwamba sina hisia kabsa ....na mtu yeyote ata ukinigusa si feel chochote nakuona wakawaida tu....ngoja nikomae kula bamia labda zitanifanya ninyegeke hahah
Hujui tu lakni ni ndo yenyewe.Tobaaa hahah....mkuu sina stress mbona