Habari zenu wana- Jamii Forums. Poleni na majukumu ya kila siku.
Naombeni msaada, nimepoteza kadi ya bima ya afya NHIF. Kwa anaejua taratibu zipoje za kupata kadi mpya, je kuna malipo yoyote yanaitajika (gharama shng ngapi)?
Pia, ofisi za NHIF kwa mkoa wa Dar es Salaam ziko wapi au wakala wa NHIF kwa manispaa ya Ilala watakuwa maeneo gani.
Nawasilisha
Naombeni msaada, nimepoteza kadi ya bima ya afya NHIF. Kwa anaejua taratibu zipoje za kupata kadi mpya, je kuna malipo yoyote yanaitajika (gharama shng ngapi)?
Pia, ofisi za NHIF kwa mkoa wa Dar es Salaam ziko wapi au wakala wa NHIF kwa manispaa ya Ilala watakuwa maeneo gani.
Nawasilisha