sokoMchizi
Member
- Oct 15, 2022
- 48
- 199
Habari wakuu , Nahitaji kufahamu inachukua Muda Gani kwa Mwanachama Mpya Wa NHIF kupata Bima ya Afya Baada ya kulipia.
Na je baada ya kulipia Anaweza Pewa Namba ya Bima yake akaendelea Kuitumia Huku Akisubiri kadi ya Bima?
Na je baada ya kulipia Anaweza Pewa Namba ya Bima yake akaendelea Kuitumia Huku Akisubiri kadi ya Bima?