Mwambie habat soda, black seed wengine wanaweza wasijue!Tafuta black seed oil
Oa kwanza halafu uje huku tukufundishe nini cha kufanya...Naomba msaada wanazengo nimepoteza hamu ya kushiriki tendo ghafla yani demu wangu anakuja geto mala 4 mfululizo lakin sina hamu kabisa yani anan fanyia kila kitu michezo yote yani mautundu uote yani lakini chuma inagoma kusimama nini shida ndugu zangu...?View attachment 2217867
Dah ... Ishu kama hii ndo uje Utuwekee kwenye Jukwaa la Sports kweli..?
Nenda Jukwaa la Afya wapo wajuzi watakusaidia...mbona hilo la kutosimama ni dogo kuna wengine wameshtaki imepotelea tumboni...!





