madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,421
- 864
Salaam wadau
Naingia kwenye habari moja kwa moja nina mchepuko ambao nimepata naye mtoto mmoja wa kike sasa jana jioni kama kawaida lazima nipite na kuwajulia hali na kuwaachia chochote kitu cha wiki, sasa nilipofika nikakuta mama Jasmini amekwenda kuoga na pale ndani yupo mdogo wake na mtoto Jasmini.
Mara simu ikaanza kuita nikaishika na kuiangalia naona imeandikwa jina driver 1,
ikafanya kama missed call 3 ghafla nikaona sms nipo pale makutano place nikaiweka simu pale pale kitandani huku roho inakwenda mbio
Bibie akaingia akasalimia macho yake yakalenga kwenye simu ghafla namuona amebadilika sura...anauliza nani amegusa hii simu yule mdogo wake akasema shemeji..nani amekwambia ushike hii simu umeona nini haya nipe ujumbe uliyouona humu naona umeshasoma.
Nikaona huyu ananichezea nikamfuata..akaniambia ukinigusa tu nitakukata visu hapa sasa nikaona ni habari nyingine anaingia msikitini na viatu nikamwambia yule mdogo wake atoke nje
Nikamfunua moja kidevu, akapiga nduru ananiuaaaa nikafunika nikafungua mlango duuuh wapangaji washaanza kutoka, kutahamaki nyuma nasikia kimbia atakuua naangalia nyuma namuona ana kisu mkononi ikabidi nikimbie kosa kubwa mimi huwa naingia pale kwa siri akapiga kelele mwiziiiiii nilichokipata hata tabu kueleza mpaka wanafika kuamulia wale wapangaji nimepoteza kila kitu na nimevimba.
Kwa hasira amerudi kule nyumbani bodaboda yangu ameibonda na mawe wala haitamaniki nikaichukua na kumuachia mjumbe pale ili Jumatatu niipeleke kwa fundi na mimi nikaelekea polisi kuchukua karatasi kwenda hospital, nyumbani nishasema nimevamiwa na watu walionifananisha kama nimewaibia pikipiki.
Nilichoamua ni kusamehe mtoto na ubalozi nimeufunga rasmi
Naingia kwenye habari moja kwa moja nina mchepuko ambao nimepata naye mtoto mmoja wa kike sasa jana jioni kama kawaida lazima nipite na kuwajulia hali na kuwaachia chochote kitu cha wiki, sasa nilipofika nikakuta mama Jasmini amekwenda kuoga na pale ndani yupo mdogo wake na mtoto Jasmini.
Mara simu ikaanza kuita nikaishika na kuiangalia naona imeandikwa jina driver 1,
ikafanya kama missed call 3 ghafla nikaona sms nipo pale makutano place nikaiweka simu pale pale kitandani huku roho inakwenda mbio
Bibie akaingia akasalimia macho yake yakalenga kwenye simu ghafla namuona amebadilika sura...anauliza nani amegusa hii simu yule mdogo wake akasema shemeji..nani amekwambia ushike hii simu umeona nini haya nipe ujumbe uliyouona humu naona umeshasoma.
Nikaona huyu ananichezea nikamfuata..akaniambia ukinigusa tu nitakukata visu hapa sasa nikaona ni habari nyingine anaingia msikitini na viatu nikamwambia yule mdogo wake atoke nje
Nikamfunua moja kidevu, akapiga nduru ananiuaaaa nikafunika nikafungua mlango duuuh wapangaji washaanza kutoka, kutahamaki nyuma nasikia kimbia atakuua naangalia nyuma namuona ana kisu mkononi ikabidi nikimbie kosa kubwa mimi huwa naingia pale kwa siri akapiga kelele mwiziiiiii nilichokipata hata tabu kueleza mpaka wanafika kuamulia wale wapangaji nimepoteza kila kitu na nimevimba.
Kwa hasira amerudi kule nyumbani bodaboda yangu ameibonda na mawe wala haitamaniki nikaichukua na kumuachia mjumbe pale ili Jumatatu niipeleke kwa fundi na mimi nikaelekea polisi kuchukua karatasi kwenda hospital, nyumbani nishasema nimevamiwa na watu walionifananisha kama nimewaibia pikipiki.
Nilichoamua ni kusamehe mtoto na ubalozi nimeufunga rasmi
yaan ww unaokota malaya sinza unajipa moyo ni wakwako mwenyewe? pole san mkuu